Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mkuu kwani kuoa HG ni noma, mbona kuna watu wameoa HG na wanaishi vizuri tu
Tena wengine ni mawaziri kabisaaa.....mfano eer Mr....( )
Mkuu kwani kuoa HG ni noma, mbona kuna watu wameoa HG na wanaishi vizuri tu
ina maana waliacha mke ndio wakaoa HG? au walikuwa na HG kabla ya ndoa wakahamua kuoa kabisa?Mkuu kwani kuoa HG ni noma, mbona kuna watu wameoa HG na wanaishi vizuri tu
Mkuu yote tu yanawezekana, unaweza kuwa na mkeo mkashindwana kwa namna yoyote ile kisha akiondoka watu wanaoa, pia wapo waio kuwa hawana wake wakaleta HG baadae kampenda anafanya kweli, wapo walikuwa kwa wazazi waka mind ma HG wakaoa.ina maana waliacha mke ndio wakaoa HG? au walikuwa na HG kabla ya ndoa wakahamua kuoa kabisa?
Hili linahitaji ushauri na msaada wa kiroho zaidi. Ngoja tumsikilizie huyu mtumishi wa Mungu anasemaje hapa chini...Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
Tukiacha mazingira yote yanayozunguka kifo na chanzo cha mapenzi ya hao ndugu "Kure kwetu Mura, unaoa mdogo mtu bira matatizo" Ndugu wa mke, inasemekana anaweza kuwa na interest kubwa na watoto wa dada yake kuliko mtu baki... Politically speaking, halina tatizo... njoo niwaozeshe
Mkuu yote tu yanawezekana, unaweza kuwa na mkeo mkashindwana kwa namna yoyote ile kisha akiondoka watu wanaoa, pia wapo waio kuwa hawana wake wakaleta HG baadae kampenda anafanya kweli, wapo walikuwa kwa wazazi waka mind ma HG wakaoa.
maHG si ni wanawake tu kama wengine mkuu
we jua kafa kilichomuua ni kifo ukimchunguza sana kuku humliChiumbile Mungu cha kumemena, ila Je mkeo kafa kwa nini?:jaw:
Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
Hahahahaha!Chiumbile Mungu cha kumemena, ila Je mkeo kafa kwa nini?:jaw:
whatever can be mkuu, hata kama kafa kwa ngoma(kama muuliza swali nawewe mnavyodhani) Mbona watu wanaowana tu hata kama mmoja kaumia mwingine yupo fresh.Hahahahaha!
Watu ni wadadisi sana. Kwani kifo kipi kinafaa shemeji mtu kuolewa? (Najua utasema ajali)
bado kuna utata ilikuwaje mpaka akafariki wakati akijifungua wakati wengine hawafariki? (samahani kwa hilo swali)whatever can be mkuu, hata kama kafa kwa ngoma(kama muuliza swali nawewe mnavyodhani) Mbona watu wanaowana tu hata kama mmoja kaumia mwingine yupo fresh.
Any way post za mwanzo zimeeleza amefariki wakati akijifungua
Mkuu what is your point? unataka nieleze kifo kilivyo tokea in details, what for?bado kuna utata ilikuwaje mpaka akafariki wakati akijifungua wakati wengine hawafariki? (samahani kwa hilo swali)
bado kuna utata ilikuwaje mpaka akafariki wakati akijifungua wakati wengine hawafariki? (samahani kwa hilo swali)
Roho Wa Bwana amenielekeza nikuambie uteme mate chini na ujute dhambi zako zote hasa hii ya kukufuru. Vinginevyo...., usije ukasema sikukuambia.....bado kuna utata ilikuwaje mpaka akafariki wakati akijifungua wakati wengine hawafariki? (samahani kwa hilo swali)
Wakati mwingine maneno yako na Avatar yako haviendani. Good point ajutie, lakini wewe vipi?Roho Wa Bwana amenielekeza nikuambie uteme mate chini na ujute dhambi zako zote hasa hii ya kukufuru. Vinginevyo...., usije ukasema sikukuambia.....
Mimi ndio hivyo tena. Mungu alishanisamehe siku nyingi. Kwasababu kila napokuwa na hangover zangu huwa namkumbuka sana....Wakati mwingine maneno yako na Avatar yako haviendani. Good point ajutie, lakini wewe vipi?
nilitaka maelezo kama hayo ingawa sikuwa na nia mbaya ila hata hivyo kupima ni kuzuri tujuwe status zetu sio kwa kuwa mkeo kafa wakati wa kujifungua ndio umrithi tu mdogo wake bila kupimaFD, asilimia kubwa ya wanawake wanafariki wakati wa kujifungua... hili linatokana na sababu mbali mbali, mojawapo ikiwa kutoka damu nyingi baada ya kujifungua, au complications nyingine zinazotokana na uzazi
nilitaka nijue kama alikuwa mkeo au mke wa jamaa yako ndio maana nikawa nakuchokozaMkuu what is your point? unataka nieleze kifo kilivyo tokea in details, what for?
any way i know ur poit, hajafa kwa ngoma
nishatema mkuu natubu dhambi zangu nilizotendaRoho Wa Bwana amenielekeza nikuambie uteme mate chini na ujute dhambi zako zote hasa hii ya kukufuru. Vinginevyo...., usije ukasema sikukuambia.....