Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Waungwana nisaidieni, kama mke wangu amefariki na kaniachia watoto wawili bado wadogo, mdogo wa mke wangu akaja kunisaidia kwa muds kuangalia watoto, ikatokea tukapendana na tunahaja ya kufunga ndoa, je imekaaje hii wa jameni?
oa mjukuu wangu..na siku ya harusi nialike nije kutia fatihaah kidogo