fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Siasa na elimu ni vitu tofouti.....unaweza kuwa na elimu lakini hujui siasa....na unaweza kuwa huna elimu lakini una siasa-na siasa ndo inaongoza nchi si elimu....mana unaweza kuwa na elimu lakini hujui kuongea na nchi jirani mara vita-unaharibu kila kitu kwenye nchi.......kumbuka kuongoza nchi lazima uwe unajua wapi pakuwanata wananchi........