Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!

Katika nchi iliyostaarabika haitegemewi waziri wa mambo ya ndani kuwa ofisini mpaka mda huu.
Jeshi la polisi lina udhaifu mkubwa ktk oparesheni zake na kufikia hatua ya mauaji ya kizembe namna hii ilitosha Mwigulu kukaa pembeni.
 
Mleta uzi leta habari toka vyanzo vya uhakika sio kutoa kwa akina mange,unajipunguzia heshima,umesema aliuwawa ni mwanachuo wa UDSM wakati ni wa kutoka NIT
3b6f6847b383f742c321a130f5fe6408.jpg
 
Binafs huwa simsikilizi JPM.
Hana kitu kipya kwangu.

Huwezi kupata hamu ya kumsikiliza, hana jipya maneno ni yale yale yanajirudia huwezi kumsilikiza mtu ambaye hajawahi hata kutoa neno lolote la inspiration kwa raia wake, yeye ni ugonvi tu na kufoka. Ni kama baba ukiwa unafoka kila siku watoto huwa ukiingia wanaenda uwani au vyumbani.
 
Haya yote Watanzania ndio tumeyachagua, tusilaumu. Tunapotakiwa kufanya maamuzi sahihi tunapuuzia na kutanguliza mbele usiasa. Hizi ni rashasha tu za 2020
 
Jeshi hili la polisi linahitaji 'Reforms' kwa kiwango kikubwa sana kwani limepoteza maana ya kuitwa Police Force na sasa limekuwa ni askari wa kukodiwa 'Mercenaries' wa ccm.

Wao sasa kazi ni ku-deal na Chadema. Limekuwa jeshi la polisi la hovyo ktk dunia hii kwa sasa ila ujinga wanaoufanya ni kujidanganya eti wanatii amri kutoka juu.

Kwenye sheria, kutii amri toka juu haiwezi kutumika kama utetezi na iko siku watakuja kuliona hili.

Polisi kote duniani wana kanuni na taratibu zao za kufuata ktk kufanya kazi zao na KAMWE hawapashwi kuamurishwa na mtu yeyote hata awe nani.

Ukiona polisi ambao muda wote wao ni kujishughulisha na wanasiasa basi ujue hilo jeshi sio 'Professional' ni genge la watu waliopewa tu hisani ya ajira na sasa wanarudishia fadhila kwa mabwana zao na ndipo lilipo hili jeshi la polisi Tz. Very regrettable indeed.
 
huyo denti alikua anatafuta nin huko kwenye mikutano ya siasa wakati wenzie wako kwenye maandalizi ya mitihani?
hujasikia kauawa akiwa kwenye daladala? maana yake ni kuwa polisi walikuwa wakifyatua risasi hovyo na kulenga hata raia wasio na hatia wenye shughuli zao...ina maana hata wewe ungepita njia hiyo ungeweza kuuawa na polisi hawa washenzi!
 
KUNA WAKATI CHADEMA WALIANDAMANA ARUSHA WAKITAKA KUVAMIA KITUO CHA POLISI. ZILIPIGWA RISASI ZA MOTO NA WATU WALIKUFA. HAKUNA ALIYESHTAKI COZ POLISI WALITIMIZA WAJIBU WAO.
 
Jeshi hili la polisi linahitaji 'Reforms' kwa kiwango kikubwa sana kwani limepoteza maana ya kuitwa Police Force na sasa limekuwa ni askari wa kukodiwa 'Mercenaries' wa ccm.

Wao sasa kazi ni ku-deal na Chadema. Limekuwa jeshi la polisi la hovyo ktk dunia hii kwa sasa ila ujinga wanaoufanya ni kujidanganya eti wanatii amri kutoka juu.

Kwenye sheria, kutii amri toka juu haiwezi kutumika kama utetezi na iko siku watakuja kuliona hili.

Polisi kote duniani wana kanuni na taratibu zao za kufuata ktk kufanya kazi zao na KAMWE hawapashwi kuamurishwa na mtu yeyote hata awe nani.

Ukiona polisi ambao muda wote wao ni kujishughulisha na wanasiasa basi ujue hilo jeshi sio 'Professional' ni genge la watu waliopewa tu hisani ya ajira na sasa wanarudishia fadhila kwa mabwana zao na ndipo lilipo hili jeshi la polisi Tz. Very regrettable indeed.
Mkuu shukrani sana umegongea vitu vya nguvu kabisa, hili jeshi linahitaji reform kama ulivyosema lifanyaiwe capacity building maana limepoteza muelekeo. inaonekana hawajui hata nafasi yao katika demokrasia ya vyama vingi. indeed they are behaving like mercinaries instead of being the police force.
 
huyo denti alikua anatafuta nin huko kwenye mikutano ya siasa wakati wenzie wako kwenye maandalizi ya mitihani?

Maswali mengine ni kitoto kitoto, wewe ndio unampangia awe wapi?
Swali kama hili unamuuliza nani wakati ameuawa tayari na hawezi kujibu? Unataka kujustify nini?
Nani alikudanganya kuwa ukihudhuria mkutano wa siasa unapaswa kuuwawa?
 
Huyo Akwilina aliyeuawa ana ndugu zake maaskari wameumizwa pia. Haya mauaji yakiendelea hata maaskari watamchoka magufuli na atakosa pa kukimbilia.
Hao ndugu zake maafande hawatakiwi kuumia,na wakiumia basi ni wanafiki wakubwa.
 
Back
Top Bottom