Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Siku hizi kuna watu wanaangalia vidoleni tuu,wakikuta pete lazima utongozwe,hii inasababishwa na watu kuchoka usumbufu,wakiwa na imani kuwa wakimfuata mtu aliye kwenye ndoa,hatopata usumbufu wa kufuatiliwa wala mizinga ya kijinga jinga,hapo ni penzi tuu!!
eh! Nimeangalia vibaya au? kuna penzi la kinamna gani apo?