Habarini wandugu...
Ni juzijuzi tuu tumeanza mawasiliano na huyu dada 20-25 yrz mm nko 23-27 yrz na nilichukua no zake kwenye group fulan maana alinivutia sana kwa uzuri wake..Basi tukatambulisha maana wote hatukuwahi kuonana na siku zilivyoenda upendo ukaanza kila mtu akiangalia interest yake..ikumbukwe hatujaonana zaidi ni picha tunatumiana na tuko mbali sana kimikoa..Basi mtoto kaonekana kapenda ila anataka akija kwangu ndo iwe moja kwa moja awe mke ila mm hilo sitaki japo ni mzuri mpaka basi na shida nina mtu tayari na tumefika mbali maana familia zinajua siwezi kumuacha japo na yy yuko mbali.
Ushauri nifanyeje maana nashindwa nawaza awe mpenzi wa pili maana kumuacha ni tatizo kwa uzuri wake
Unatafuta mchumba? Chagua unitumie pete ama mie nikutumie weye?
Boya kweli