Je, ni sawa kufanya mapenzi na mwanamke anaekuzidi miaka 18+?

Hakuzidi miaka 18 Bali anakuzido miaka 18+ Wenda ni 20 au 25 n.k.


Bila shaka age yako IPO 25-35.

Tuchukulie tu unamiaka 25 ,, na tujifanye kama anakuzidi iyo iyo 18 kamili.

Kwaiyo yeye anamiaka 43 ,,Wewe unamiaka ,25.

Anyway , Kitulize mkuu !!... Simba hata mbugani kuwe nahaki gan hawezi kula nyasi........atleast angekua amekuzidi 5-9.
Hahaa fundi chupi yuko kwenye 40's so obvious bibi anaemgwaya yuko kwenye 60's hv
 
Mkuu fundi chupi uliadimika sana, kumbe uko Ulaya banaa,, huyo bibi we kula kirohoo safi,,
 
Mkuu Kwanza nikupe hongera maana zikinishika sitaki shida nawai kuzifukua Tu maana kufuga nyege unaweza kufanya kituko jamii yote ikakuhukumu
 
Mkuu fundi chupi uliadimika sana, kumbe uko Ulaya banaa,, huyo bibi we kula kirohoo safi,,

Itabidi nitifue tu uchaka maana hamna namna bwashee, hafu kuna mdau anaitwa Sonia G anadai alitegemea kukuta ushuhuda badala ya mitazamo. Ombi lako nimelisikia ntalifanyia kazi ASAP
 
Nina wasiwasi na kipururu chako.. Yani uwe na migenye alafu uombe ushauri wa ule/usile????!!!!!!
 
''mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke aliemzidi sana umri mwanamke huyo humnyonya nguvu zake za ujana,hivyo mwanamke huyo hufaidika na mwanaume husika huwa ktk hasara kubwa!''-The Perfumed Garden by Sheikh Nefzaoui
 
''mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke aliemzidi sana umri mwanamke huyo humnyonya nguvu zake za ujana,hivyo mwanamke huyo hufaidika na mwanaume husika huwa ktk hasara kubwa!''-The Perfumed Garden by Sheikh Nefzaoui

Mambo ya mshana jr na archive zake zilizotukuka.. Ila tambua mwanamke akikuzid umri jitahidi kula protein kwa wingi sana ili uweze kubalance unachotoa (sperm) na unachoingiza (afya).
 
Back
Top Bottom