Je ni kweli?

habdul64

Senior Member
Dec 24, 2014
153
67
Je ni kweli kuwa Waziri wa Elimu amehoji madaraja ya ufaulu?..kama ni kweli afadhali mana yale madaraja hayako sawa kabisa..
 
Je ni kweli kuwa Waziri wa Elimu amehoji madaraja ya ufaulu?..kama ni kweli afadhali mana yale madaraja hayako sawa kabisa..
Ni kweli kahoji kwa nini mfumo wa zamani wa madaraja ulifutwa. katoa siku saba apewe majibu ya kueleweka
 
Watanzani weng ss tunategemea kusikia ili kufanya maamuz hv vitu yy alikuwa wapi ma kiliamuliwa wapi mbona maamuz ya sifa yanatawala ktk mambo makini kama uongoz unaona kuna tatizo wa review upya kwa umakini na wadau sio kufanya kana kwama mchi hii ilikuwa haina uongozi kabisa miaka ya nyuma
 
Back
Top Bottom