Je ni kweli?

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Habari wana jf wenzangu,nilikuwa nauliza je ni kweli kuwa endapo mwanaume atafanya mapenzi na mwanamke siku ambazo mwanamke anaweza kupata mimba,je wakimaliza kufanya mapenzi na yule mwanamke akaenda kunawa na kujisafisha muda huo huo,je ni kweli kuwa huyo mwanamke hawezi kupata mimba?
 
Sio kweli. Manake vile vijamaa vina mbio ile mbaya! Huko kujiswafi kunaweza kupunguza kwa kiasi kidogo sana kupata ujauzito.
Halafu ukumbuke kujiswafi hakuzuii ukimwi. Uepuke ngono nzembe eeh!
 
Sio kweli. Manake vile vijamaa vina mbio ile mbaya! Huko kujiswafi kunaweza kupunguza kwa kiasi kidogo sana kupata ujauzito.
Halafu ukumbuke kujiswafi hakuzuii ukimwi. Uepuke ngono nzembe eeh!

King umemaliza. Thread closed.
 
Landala, Labda kama akiwa ana nawa kwa sabuni baada tu ya kumaliza. Somehow soap kama colloid yaweza kuwa slow hao jamaa. Lakini sio 100%. Best ni kutumia kinga.
 
Sio kweli. Manake vile vijamaa vina mbio ile mbaya! Huko kujiswafi kunaweza kupunguza kwa kiasi kidogo sana kupata ujauzito.
Halafu ukumbuke kujiswafi hakuzuii ukimwi. Uepuke ngono nzembe eeh!
Afu umesahau kumuuliza yuko darasa la ngapi....... unazeeka vibaya ujue....:A S-coffee:
 
Weweeeeee masihara hayo ki2 kikiwa kimepigwa peku peku Doggy style ukija kunawa vijamaa vinakuwa vimeshajihifadhi.
 
yaani mie nangaika kutia mimba nyie mnangaika namna ya kuzuia mimba..
 
Ha wapi vile vijamaa vinamambio c masihara yani na vikiingia havitoki hata kwa dawa
 
Landala, Labda kama akiwa ana nawa kwa sabuni baada tu ya kumaliza. Somehow soap kama colloid yaweza kuwa slow hao jamaa. Lakini sio 100%. Best ni kutumia kinga.

na yeye kwanini afanye wakati hataki mimba?
 
Kama haupo teyari kwa mimba acha mpaka utakapo hitaji, yani uwe kama mbuzi wanavyofanya
 
Back
Top Bottom