Je, ni kweli Wanawake wanaishi duniani kwa muda mrefu kuliko Wanaume?

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,018
1,508
Mambo zenu wakuu?

lnasemekana wanawake wanaishi duniani kwa muda mrefu zaidi ya wanaume. Binafsi nakuwa mgumu kuamini kwa sababu, iwapo utawaweka pamoja mwanamke na mwanaume wenye umri sawa, mwanamke ataonekana mkubwa kuliko mwanaume, tena mwanaume mtu mzima anakua na nguvu ya kuhimili kumzidi mwanamke wa makamo

Isitoshe hata kwenye mahusiano ni kawaida kwa mwanaume kuwa mkubwa kumzidi mwanamke, hii ni kwasababu mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume na kwakua mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume inamaana pia mwanamke anawahi kuzeeka kabla ya mwanaume wenye umri sawa

Ikiwa ni kweli wanawake wanaishi kwa muda mrefu duniani kuliko wanaume, basi itakua wanaume wengi tunakufa tukiwa bado tunanguvu zetu huku wanawake wakiendelea kuishi haliyakuwa ni wazee/vikongwe.
 
Mambo zenu wakuu? lnasemekana wanawake wanaishi duniani kwa muda mrefu zaidi ya wanaume. binafsi nakuwa mgumu kuamini kwa sababu, iwapo utawaweka pamoja mwanamke na mwanaume wenye umri sawa, mwanamke ataonekana mkubwa kuliko mwanaume, tena mwanaume mtu mzima anakua na nguvu yakuhimili kumzidi mwanamke wa makamo, isitoshe hata kwenye mahusiano ni kawaida kwa mwanaume kuwa mkubwa kumzidi mwanamke ,hii ni kwasababu mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume na kwakua mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume inamaana pia mwanamke anawahi kuzeeka kabla ya mwanaume wenye umri sawa, ikiwa nikweli wanawake wanaishi kwa muda mrefu duniani kuliko wanaume, basi itakua wanaume wengi tunakufa tukiwa bado tunanguvu zetu huku wanawake wakiendelea kuishi haliyakuwa ni wazee/vikongwe.

Kwa mwendo wa kutuma na za kutolea lazima kufa mapema mkuu
 
Wanaokufa wakiwa bado ni ma young wengi ni wanaume. Yaani ukichukua vifo vya watu wa miaka kati ya 25 to 45 asilimia 70 ya vifo hivi huwa kwa wanaume. Hiyo hutokana na asilimia kubwa ya kazi zenye mazingira hatari hufanywa na wanaume. Angalia hata tukio la moto la moro. Huko jela wamejaa akina nani, machimboni, baharini, ukandarasi vibarua karibu wote ni wanaume. Hizo ni sehemu ambazo ni nusu kifo nusu uhai
 
KWA STRESS ZA MAISHA YA TANZANIA NAUNGA MKONO HOJA, WANAUME TUNAISHI MUDA MCHACHE SANA
 
Rejea ajali ya moto morogoro takwimu zinasema wanaume 62 wanawake 13,bado ambao wapo mahututi
Mwanamke anawai kuzeeka lakini anachelewa kufa
Mwanaume hawai kuzeeka lakini anawi kufa.

Mwanaume akikosea kuoa anawai kufa
Mwanamke akikosea kuolewa anaishi kwa tabu/shida lakini hawai kufa

Lakini mwanaume unaoa mwanamke umempita miaka 10 !! kwa hali ya kawaida unategema nani atawai kufa ?
 
Wanaokufa wakiwa bado ni ma young wengi ni wanaume. Yaani ukichukua vifo vya watu wa miaka kati ya 25 to 45 asilimia 70 ya vifo hivi huwa kwa wanaume. Hiyo hutokana na asilimia kubwa ya kazi zenye mazingira hatari hufanywa na wanaume. Angalia hata tukio la moto la moro. Huko jela wamejaa akina nani, machimboni, baharini, ukandarasi vibarua karibu wote ni wanaume. Hizo ni sehemu ambazo ni nusu kifo nusu uhai
Nimekuelewa mkuu, kwahiyo sikwamba tuna umri mfupi ila tunakufa mapema kwasababu ya mazingira hatarishi tunayokabiliana nayo.
 
Rejea ajali ya moto morogoro takwimu zinasema wanaume 62 wanawake 13,bado ambao wapo mahututi
Mwanamke anawai kuzeeka lakini anachelewa kufa
Mwanaume hawai kuzeeka lakini anawi kufa.
Mwanaume akikosea kuoa anawai kufa
Mwanamke akikosea kuolewa anaishi kwa tabu/shida lakini hawai kufa
Lakini mwanaume unaoa mwanamke umempita miaka 10 !! kwa hali ya kawaida unategema nani atawai kufa ?
Nimekuelewa mkuu, lakini vipi, ikiwa tutaishi kwenye mazingira yanayofanana?
 
Nimekuelewa mkuu, lakini vipi, ikiwa tutaishi kwenye mazingira yanayofanana?
Utawai kufa wewe ila yeye atawai kuzeeka,
Nyumba nyingi zimebaki na BiBi ukiuliza BABU unaambiwa alishafariki.
Maumbile yao ndio yanafanya waweze kuwa na life Span ndefu kushinda wanaume..
Inawezekana hata kitendo cha wanau!e kutoa manii kinapunguza umri wa kuishi Angalia mapadre wanavyoishi miaka mingi
 
Kimwili wanaume tunanguvu... kiroho wanawake wananguvu...

Roho huishi muda mrefu kuliko mwili...


Cc: mahondaw

Njoo tutete kidogo hapa kwenye maandiko umekuja pazuri

Mwanamume ni mfano na utukufu wa Mungu
Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume
Maana mwanaume hakutoka katika mwanamke bali mwanamke katika mwanamume
Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke
Bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume

Unaweza kutengeneza kitanda kikadumu miaka na miaka mpaka vining'na na visukuru vikaja kulalia,wakati wewe ushakufa siku nyingi
 
Mambo zenu wakuu?

lnasemekana wanawake wanaishi duniani kwa muda mrefu zaidi ya wanaume. Binafsi nakuwa mgumu kuamini kwa sababu, iwapo utawaweka pamoja mwanamke na mwanaume wenye umri sawa, mwanamke ataonekana mkubwa kuliko mwanaume, tena mwanaume mtu mzima anakua na nguvu ya kuhimili kumzidi mwanamke wa makamo

Isitoshe hata kwenye mahusiano ni kawaida kwa mwanaume kuwa mkubwa kumzidi mwanamke, hii ni kwasababu mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume na kwakua mwanamke anakua kwa haraka kumzidi mwanaume inamaana pia mwanamke anawahi kuzeeka kabla ya mwanaume wenye umri sawa

Ikiwa ni kweli wanawake wanaishi kwa muda mrefu duniani kuliko wanaume, basi itakua wanaume wengi tunakufa tukiwa bado tunanguvu zetu huku wanawake wakiendelea kuishi haliyakuwa ni wazee/vikongwe.


Tuanzie hapa waliofariki morogoro wanaume ni wangapi na wanawake ni wangapi? Jibu lipo hapo
 
Utawai kufa wewe ila yeye atawai kuzeeka,
Nyumba nyingi zimebaki na BiBi ukiuliza BABU unaambiwa alishafariki.
Maumbile yao ndio yanafanya waweze kuwa na life Span ndefu kushinda wanaume..
Inawezekana hata kitendo cha wanau!e kutoa manii kinapunguza umri wa kuishi Angalia mapadre wanavyoishi miaka mingi
Huo ndo ukweli sasa wewe jitie ubabe wa kutaka uonekanene kitombi utakoma
 
Iko hivi wanaume wanawahi kufa haraka kutokana na sababu zifuatazo
1.Kufanya kazi katika mazingira hatarishi kama migodi, mahandaki, kwenye magas n.k, katika sehemu kama hizo wanaume ni wengi na pale inapotokea risk wanaume huwa ni waanga namba moja

2.Kufanya kazi ngumu ujenzi wa aina zote, viwandani n.k hii ufanya mwili kuthoofu mapema hivyo kumfanya mwanaume kufa mapema

3.Kutegemewa na familia wengi wanajikuta katika msongo wa mawazo hivyo kupelekea stroke, bp nk
4.Makundi hatarishi, mfano wanaume wengi ndio wanaoathirika na uvutaji bangi madawa ya kulevya pombe sigara kali na mambo mengine kama hayo

Hayo na mengine mengi ndo sababu za wanaume wengi kufa mapema kuliko wanawake
 
Back
Top Bottom