Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya status ya ugonjwa wa Corona na wala sio update ya Corona, hili ni angalizo la swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisiitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila kutaja majina yoyote, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy za wagonjwa na za watu, na ningeomba hata miongoni mwa wachangiaji ikitolea ukawa unamjua, ili kuheshimu haki za mgonjwa, nawaomba msimtaje kwa majina.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza ) ambapo safari yake ilianzia Italy kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri amepimwa na ikathibitishwa ni anaugua Corona, then his/her rights to privacy ziheshimiwe kwa kuwa upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila asipewe any preferential treamement kwasababu yeye ni Waziri, kama mtu ameugua Corona, haijalishi yeye ni nani, msifiche waziri wetu kuugua Corona, ugonjwa wa Corona ni ugonjwa tuu hauchagui wa kumpata na sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, unaficha nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, mawaziri wakuu wa dunia hadi mwana mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halafu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, naomba kutoa angalizo la kisa cha mficha maradhi kisije..., nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba Tanzania tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kwa kuanza kumhisi na watu humu kutaka kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja tuu jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali
Huko instagram wameshamtaja jina na picha yake wameiweka.
Asante pascal kwa kuwafungulia njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ndio maana Waingereza na Wamarekani wanawataka watu wao waondoke Tanzania. Kama hii ni kweli hatuko serious na soon yatatukuta zaidi ya Italia. It is so sad na asante Pascal kwa hii tahadhari. Nadhani hao wauguzi wana haki ya kugomea kumgusa mtu huyu kama kweli yupo na ameamua kufanya hivyo.
Kumbe ndio ndege zinaondoka kimya kimya.
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na Angalizo: Mamlaka pekee za kutangaza status report ya ugonjwa wa Corona kwa Tanzania ni
  1. Rais wa JMT
  2. Waziri Mkuu
  3. Waziri wa Afya
  4. Msemaji Mkuu wa Serikali
Hivi wajameni hii siyo taarifa ya status ya ugonjwa wa Corona na wala sio update ya Corona, hili ni angalizo la swali nimeuliza na alama kabisa ya kuuliza! Mimi mwenzenu kazi yangu ni kuuliza tuu maswali, na kuna swali niliwahi kuuliza, hadi nikaitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge, kuwa nimetoa statement, kumbe sikutoa statement yoyote bali nimeulizwa swali tu, hivyo bandiko hili nalo ni swali tu lenye alama ya kuuliza hii? nisije nikaitwa popote kuulizwa kuwa nimetoa statement yoyote, unless kwenye janga hili la Corona, hata sisi waandishi haturuhusiwi kuuliza chochote, hata ukisikia chochote kinachohatarisha usalama wa taifa letu tunyamaze tuu tukisubiria hadi hao wasemaji 4 waseme, wasiposema, tupotezee huku tunateketea?.

Kufuatia janga la Corona, tunahimizwa tusitangaze taarifa yoyote bila kuipokea kutoka Vyanzo rasmi vya kiserikali.

Lakini inapotokea wewe ni mwandishi wa habari makini na Mzalendo unao jua wajibu wako kama mwanahabari na wajibu wako kwa taifa lako, ukipokea habari kutoka chanzo ambacho wewe unakiamini, na ukathibitishiwa kuwa serikali inajua ila imenyamaza, kwa vile kunyamaza huko kunaweza kutusababishia majanga, hiyo kuitangaza taarifa hiyo ili serikali ichukuwe hatua stahiki ndio uzalendo wa kweli kwa taifa lako.

Mimi licha ya kuwa ni mwana habari, pia nimebahatika kufuta tongo tongo za sheria, hivyo, ili ku tie in all loose ends kunizuia nisiitwe popote kuwajibishwa kisheria, naitoa taarifa bila kutaja majina yoyote, sijasema ni Waziri gani, au waziri wa wapi, hii ili kuisaidia serikali yetu ya JMT, kutimiza wajibu wake wa kuwalinda Watanzania dhidi ya maambukizi ya Corona huku nikiheshimu haki zote za the right to privacy za wagonjwa na za watu, na ningeomba hata miongoni mwa wachangiaji ikitolea ukawa unamjua, ili kuheshimu haki za mgonjwa, nawaomba msimtaje kwa majina.

Nimepokea taarifa hii kutoka very reliable source.

... jina limehifadhiwa (Waziri wa ...) ashukiwa kuugua CORONA.
************************************************************************
Waziri wa... ambaye alikuwa safarini akitua nchini kutokea London (Uingereza 🇬🇧) ambapo safari yake ilianzia Italy 🇮🇹 kisha kurejea wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya ... akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA.

Dr. Mkuu wa Hospitali ya ... baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya ... akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Corona, itakuwa ni aibu kwake na kumdhalilisha!.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika... Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda , kituo Maalum cha wagonjws wa Corona, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya Italy kisha kupitia London kurejea Tanzania na homa kali!

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya hiyo alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali hiyo pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Watanzaia wote!... Ameitaka serikali kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya hiyo haraka kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari!
Mwisho.
My Take.
Kwa vile Corona ni issue za kitabibu, sio lazima kila anayeugua mafua makali ni Corona, inawezeka Waziri ana homa tuu ya kawaida na mafua ya kawaida lakini sio Corona, kama madaktari wanasema sio Corona then sio Corona!.
Lakini kama ni Corona,
Natoa Wito, Only The Truth & Transparency ndio The Only Way Out Kushinda Vita Hii. Kama Waziri amepimwa na ikathibitishwa ni anaugua Corona, then his/her rights to privacy ziheshimiwe kwa kuwa upheld kwa kutokutajwa kwa jina wala wizara yake, ila asipewe any preferential treamement kwasababu yeye ni Waziri, kama mtu ameugua Corona, haijalishi yeye ni nani, msifiche waziri wetu kuugua Corona, ugonjwa wa Corona ni ugonjwa tuu hauchagui wa kumpata na sio ugonjwa wa aibu kusema tuufanye siri, unaficha nini?!. Marais wa dunia wame test positive na wametangaza, mawaziri wakuu wa dunia hadi mwana mfalme ametangaza ndio itakuwa waziri?.

Kama ni kweli kuna Waziri anaugua Corona halafu tunaficha kwasababu yeye ni Waziri, naomba kutoa angalizo la kisa cha mficha maradhi kisije..., nini huwa kinatokea ambacho Kitamuumbua. Naomba Tanzania tusifike huko!

NB. Naombeni tusianze kupiga ramli chonganishi kwa kuanza kumhisi na watu humu kutaka kumjua ni waziri gani, " umdhanie ndiye, siye!". Inawezekana ikawa ni jamaa mmoja tuu jina lake Waziri!

I wish you Saturday night njema.

Paskali

yule mkuu mwenye mamlaka ya kutoa taarifa za wagonjwa bila kibali cha hao wanne ilowaorodhesha hajapata hizo taarifa ili azitoe kinyume na utaratibu wa sheria?
 
Naona .....Sasa hiyo inahusiana vipi na comment yangu....Kuna mtu ali-comment kuwa naigopa CCM kuliko Corona? Mimi nikashangaa how? Awali nilikuwa nime-comment jamaa aliyeshauri Mayalla afute Uzi huu...

Mimi kwa kutoona ubaya wa Uzi huu nili-comment kuwa Mayalla Hana haja ya kuufuta Uzi lakini nikatoa tahadhari kwa wachangiaji watakaoropoka kwa maana watakaojikuta wakienda kinyume na maelekezo ya serikali kuhusu utoaji wa taarifa...Sasa mtu akaja na comment kuwa naigopa CCM kuliko Corona.

.kwa mshangao nikacomment how...yaani haya mambo ya CCM yanaingiaje hapo?

CCM inahusika sana kwa kuwaweka vibaraka hao wasojua nini wanafanya ,uchu wao na chuki zao ndio zinatufikisha hapa kwenye janga, Mungu atuepushe.Aamin
IMG-20200329-WA0019.jpg
 
Nasema ivi, Mgonjwa wa korona atajwe tu! hamna kuficha jina wala wizara yake. China kuna app kabisa inakuonesha nani ana corona na umbali uliopo baina yako na mwenye corona.

Huu sio ugonjwa wa mtu kufichwa jina asijulikane. Akijulikana jina na wizara, basi waliokuwa wanafanya nae kazi pamoja na familia zao zitaweza kuchukua tahadhari mapema kabla hakijanuka.
 
Mkuu Mimi ni ccm damu lakini kwa huu upuuzi wanaotufanyia kwa kweli haifai,hawataki kutupatia updates za ugonjwa kwa lengo la kulinda utalii ili khali huku raia wanaangamia,ikiwa ugonjwa huu utauwa raia wa Tanzania wengi itakuwa ni muda muafaka wa raia kuiadhibu ccm kwa damu na jasho

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wanatuchombeza na uchaguzi mkuu. Hawa ni wakutaarifu wazi.
Mkuu Mimi ni ccm damu lakini kwa huu upuuzi wanaotufanyia kwa kweli haifai,hawataki kutupatia updates za ugonjwa kwa lengo la kulinda utalii ili khali huku raia wanaangamia,ikiwa ugonjwa huu utauwa raia wa Tanzania wengi itakuwa ni muda muafaka wa raia kuiadhibu ccm kwa damu na jasho

Sent using Jamii Forums mobile app

Wako busy kutuaminisha kuwa huu ugonjwa si kitu. Wamezuia taarifa kuhusiana na huu ugonjwa kuwekwa hadharani.

Kwa nini mashule na vyuo vimefungwa kama kila kitu ni sawa?

Hizi habari za uchaguzi mkuu, au jiwe yuko kwenye kijiwe cha kahawa na tangawizi zote ni geresha tu.

Wanapaswa kujua wanaongoza hii nchi kwa dhamana yetu. Kutuficha mambo nyeti yenye kuhusiana na uhai wetu ni kupoka haki yetu ya msingi sana ambayo 'by any standard' ni kinyume sana cha Katiba ya nchi hii.
 
Labda ndio maana Waingereza na Wamarekani wanawataka watu wao waondoke Tanzania. Kama hii ni kweli hatuko serious na soon yatatukuta zaidi ya Italia. It is so sad na asante Pascal kwa hii tahadhari. Nadhani hao wauguzi wana haki ya kugomea kumgusa mtu huyu kama kweli yupo na ameamua kufanya hivyo.
Mgonjwa mkaidi, ajitibu mwenyewe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma gazeti ilo


Salama Aboud Talib (Waziri wa Nishati - SMZ) ashukiwa kuugua CORONA

Waziri wa Nishati wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ambae alikuwa safarini kutokea London (Uingereza ) na kupitia Italy kisha kurejea Zanzibar wiki tatu zilizopita, amelazwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja akiwa katika hali mbaya huku akishukiwa kuwa ana maambukizi ya virusi vya CORONA..

Dr. Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kumpima vipimo vya awali na kutokana na dalili alizonazo mgonjwa huyo, aliamuru mgonjwa huyo kupelekwa katika eneo maalum la uangilizi kwa ajili ya wagonjwa wote wenye virusi vya corona, lakini Waziri huyo aligoma kuondoka katika Hospitali ya Mnazi mmoja akiwaeleza madaktari kuwa yeye kutokana na hadhi yake ya Uwaziri hastahiki kwenda kulazwa katika Hospitali ya Kidimni.

Mmoja wa wauguzi anaemshughulikia Waziri huyo amesema, Waziri huyo alipokelewa jana akiwa hali tete, huku akichuruzikwa na wingi wa mafua na kikohozi kisichonyamazika. Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa na dalili zote za virusi vya CORONA 🦠

Hali hiyo imepelekea wauguzi na madaktari kuwa katika wakati mgumu huku kila mmoja akikhofia kuambukizwa ugonjwa huo na kuweza kuenea kwa watu wengine, kwa kile kilichotajwa kuwa mbali ya kugoma kwenda Kidimni, lakini pia Waziri huyo amegoma kuvaa mask na vifaa vyengine vya kudhibiti kueneza virusi vya CORONA anavyoshukiwa kuathirika navyo kutokana na Safari yake ya London kisha kupitia Italy na kurejea Zanzibar akiwa na homa kali.

Mmoja wa wauguzi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja alisema amesikitishwa sana na kitendo cha Waziri huyo kugoma kupelekwa kwenye kituo cha uangalizi, huku Serikali ikimfumbia macho kwa sababu tu ya cheo chake.

Muuguzi huyo alisema kuwa licha ya taarifa hiyo kupelekwa kwa Waziri wa Afya hadi sasa, hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, na mgonjwa huyo bado yupo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja pasi na kuvishwa vifaa vya kuzuia maambukizi yasienee kwa wengine.

Kutokana na taharuki hiyo, muuguzi huyo ameiomba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuacha UBAGUZI katika mambo ya msingi yanayoweza kuhatarisha maisha ya Wazanzibar wote!... Ameitaka SMZ kupitia Wizara ya Afya kuhakikisha mgonjwa huyo anaondoshwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kama ilivyofanyika kwa wagonjwa wengine ili kuepusha kuenea kwa haraka maambukizi ya ugonjwa huo hatari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom