T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 Mar 28, 2011 #1 Tafadhal naomba kuuliza wana jf.NIMENG'ATWA NA MENO YA BINADAMU MPAKA KIDONDA.JE NINI TIBA YAKE?PIA MENO YA BINADAMU YANA SUMU?
Tafadhal naomba kuuliza wana jf.NIMENG'ATWA NA MENO YA BINADAMU MPAKA KIDONDA.JE NINI TIBA YAKE?PIA MENO YA BINADAMU YANA SUMU?
Gamaha JF-Expert Member Jul 17, 2008 3,815 4,861 Mar 28, 2011 #2 mi naona umeng'atwa na binadamu mkuu kama sijakosea na sio meno ya binadamu.
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,594 2,981 Mar 28, 2011 #3 Hakuna sumu - lakini kuna uwezekano wa kupata infection kwenye hicho kidonda
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Mar 29, 2011 #4 yanasumu iwapo utamng'ata nyoka.lakini uking'atwa na mla ugoro unaweza pata matatizo kama hutamuona dr.mia.
yanasumu iwapo utamng'ata nyoka.lakini uking'atwa na mla ugoro unaweza pata matatizo kama hutamuona dr.mia.