Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,903
nimesikia hiyo habari asubuhi hii. je ni halali hayo? naona kuna watu wanataka kucompansate incompetence yao kwa njia za kionezi. dhamana si haki! mtuhumiwa kutembelewa na ndugu si haki? nasikia wengine hata miaka 18 hawajafika. wanasheria imekaaje hii ishu?