johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Katika mambo ya ushindani kuna kanuni zake ndio sababu sisi wengine hatukufurahishwa kwa namna zoezi la Kuunga juhudi lilivyokuwa linaendeshwa na Komredi Polepole
Leo pale Makao makuu ya Chadema kuna Kijana amejitambulisha kama Katibu wa Kamati maalumu ya Kuwashawishi Wanachama wa CUF kuhamia Chadema na akasema Kamati bado ipo na inaendelea na kazi
Je, Kamati Hiyo ni halali kuhujumu Chama kingine?
Mlale Unono!
Leo pale Makao makuu ya Chadema kuna Kijana amejitambulisha kama Katibu wa Kamati maalumu ya Kuwashawishi Wanachama wa CUF kuhamia Chadema na akasema Kamati bado ipo na inaendelea na kazi
Je, Kamati Hiyo ni halali kuhujumu Chama kingine?
Mlale Unono!