Je, naweza kurudia masomo ya Kidato cha 6 kwa mchepuo tofauti?

Inawezekana, Mimi binafsi nilifanya Mtihani wa kidato cha sita kwa michepuo miwili tofauti kwa kupishanisha miaka mitatu.

Awali nilifanya kwa Mchepuo ambao sikufaulu vizuri ndipo nilipoamua kubadili Mchepuo na kufanya Mtihani kama Mtahiniwa Binafsi [Private Candidate].
 
Wanajamii naombeni kuuliza, nilisoma mchepuo wa EGM nikamaliza shule

Sasa nataka nikaanze masomo ya Udaktari. Je, naweza kwenda tena kusoma advance mchepuo wa PCB ili niweze kwenda udaktari?
Inawezekana kama form four ulikuwa umesoma physics na ulifaulu pia ikizingatiwa kwamba masomo mengine pia ulifaulu walau kwa ufaulu unaohitajika, kitu kingine kwanin ulisoma EGM na kwanin sahivi tena unataka PCB? Kwanin upoteze mda hivyo kasome clinical medicine miaka 3 kisha baadae utakula MD miaka 5 kuliko kurudi advance maana unaweza kurudi ukachemka pia
 
Inawezekana kama form four ulikuwa umesoma physics na ulifaulu pia ikizingatiwa kwamba masomo mengine pia ulifaulu walau kwa ufaulu unaohitajika, kitu kingine kwanin ulisoma EGM na kwanin sahivi tena unataka PCB? Kwanin upoteze mda hivyo kasome clinical medicine miaka 3 kisha baadae utakula MD miaka 5 kuliko kurudi advance maana unaweza kurudi ukachemka pia
Kasome Clinical Medicine 3yrs then kula Bachelor degree! Utanishukuru!
Ushauri mzuri kapewa. Uzi umefungwa.
 
Kaanze na chuo clinical medical then chuo kikuu kwann urudi Tena nyuma kupoteza muda hali uhakika wa kufaulu sio rahisi.
Nenda kapige diploma
 
Back
Top Bottom