Je, namba ya NIDA ni lazima katika mchakato wa kuapply Vyuo na Mikopo?

Dinah16

New Member
Jun 10, 2023
4
4
Msaada members, Nina mdogo wangu amechaguliwa jeshini na kashaondoka, Sasa katika pitapita zangu nimeona Kuna mtu anasema katika application za chuo na mikopo ni lazima uwe na no. Ya NIDA.

Je ni kweli kwa wanaoelewa system vizuri maana hapa mdogo wangu Hana nida Wala hajaomba hatujui chochote
 
Screenshot_2023-06-11-18-53-54-23_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg

[/QUOTE]
Screenshot_2023-06-11-18-54-07-21_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2023-06-11-18-54-13-71_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom