Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Ila ipo kazi bado watanzania wengi kuelimika . . .
Asubuhi nilikuwa naongea na sister wangu moja na jirani yake, bado wanaamini CHADEMA ni watu wa vurugu na watavuruga amani. Nilipowadodosa hawana hoja ila tu wao wanaona bora CCM pamoja na kuwa wanajua nini Slaa kafanya.
Bado CHADEMA wanayo kazi ngumu ya kuwashawishi watu kama hawa waelewe.
Hii inawezekana kutokea kwa sababu hata wewe mwenyewe lugha uliyotumia kwenye heading yako ni kuonesha chadema kama cha vurugu.