Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
In all seriousness....sidhani kama mgombea mwanamke atafika mbali. Kikwazo kitakuwa wanawake wenzake! Atatokea mgombea mwanamme ambaye wanawake watadhani ni 'handsome' na watapagawa.

Angalia Hillary....wanawake wenzake ndio walikuwa kikwazo. Badala ya kuangalia hoja alizokuwa akitema Mama wa watu wakabaki kukosoa pant suits zake...mara ooh mumewe hivi....mara ooh...I can't stand that what rhymes with witch....mara ooh I just can't stand her coz she's mean looking...mara wakawa wana criticize make up zake...n.k.

Kuja Obama...aaah...we acha tu. Mademu walikuwa wanazimia literally...wengine hadi wana-fantasize kufanyana naye. Hehehehe...vichekesho mtupu.

Objectively speaking...Mama won nearly every debate they had.

Oh....well...we shall see. But adui wa mwanamke ni mwanamke.


That is very true wala sikukatalii kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke...but lets try and see...Mbona yule Ellen Johnson ameweza kuwa raisi..i think inabidi huyo mwanamke awe ngangari na siyo slaki ...all in all lakini baadaye si hao hao wanawake wakawa on Hilary side?....

Tukisema tuangalie uzuri matokeo yake hatutafika mbali si huyo raisi wetu walisem ahandsome i guess na yeye alichaguliwa kwa vigeo hivyo matokeo yake tumechagua nazi koroma.
 
In all seriousness....sidhani kama mgombea mwanamke atafika mbali. Kikwazo kitakuwa wanawake wenzake! Atatokea mgombea mwanamme ambaye wanawake watadhani ni 'handsome' na watapagawa.

Angalia Hillary....wanawake wenzake ndio walikuwa kikwazo. Badala ya kuangalia hoja alizokuwa akitema Mama wa watu wakabaki kukosoa pant suits zake...mara ooh mumewe hivi....mara ooh...I can't stand that what rhymes with witch....mara ooh I just can't stand her coz she's mean looking...mara wakawa wana criticize make up zake...n.k.

Kuja Obama...aaah...we acha tu. Mademu walikuwa wanazimia literally...wengine hadi wana-fantasize kufanyana naye. Hehehehe...vichekesho mtupu.

Objectively speaking...Mama won nearly every debate they had.

Oh....well...we shall see. But adui wa mwanamke ni mwanamke.

Ng'waninyami,mara nyingi kina mama wanaopata nafasi za uongozi wa juu either hawana waume ama wamewakalia wanaume wao kichwani,inapokuja kwa kina mama hizo roles hapo ni very difficult to handle bila kuleta usumbufu on decision making....Lets see what Mama,Kelly, women of substanc etc have to say on this.
 
That is very true wala sikukatalii kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke...but lets try and see...Mbona yule Ellen Johnson ameweza kuwa raisi..i think inabidi huyo mwanamke awe ngangari na siyo slaki ...all in all lakini baadaye si hao hao wanawake wakawa on Hilary side?....

Tukisema tuangalie uzuri matokeo yake hatutafika mbali si huyo raisi wetu walisem ahandsome i guess na yeye alichaguliwa kwa vigeo hivyo matokeo yake tumechagua nazi koroma.

Lini hao wanawake walikuwa upande wa Hillary? After all was said and done?

Now, Liberia ni case nyingine kabisa. Binafsi ningependa kuwepo na raisi mwanamke but sidhani kama itatokea in my lifetime na ikitokea I'll be pleasantly surprised.

Shame on all women who hated on my girl Hillary......
 
Ng'waninyami,mara nyingi kina mama wanaopata nafasi za uongozi wa juu either hawana waume ama wamewakalia wanaume wao kichwani,inapokuja kwa kina mama hizo roles hapo ni very difficult to handle bila kuleta usumbufu on decision making....Lets see what Mama,Kelly, women of substanc etc have to say on this.

Heheheee..Mangi...wanawake wanashangaza sana aisee. Hivi unadhani kama mgombea mwanamke akirudia kuvaa nguo aliyovaa juzi kwenye kampeni atasalimika kweli? Nani kati ya mwanamke na mwanamme atakayekuwa wa kwanza kubaini na kuanza kurusha madongo kuwa anarudia kuvaa blauzi ile ile? Adui wa mwanamke ni mwanamke, period!
 
Ng'waninyami,mara nyingi kina mama wanaopata nafasi za uongozi wa juu either hawana waume ama wamewakalia wanaume wao kichwani,inapokuja kwa kina mama hizo roles hapo ni very difficult to handle bila kuleta usumbufu on decision making....Lets see what Mama,Kelly, women of substanc etc have to say on this.

No way...kuna wanawake wengi tuu mbona wako kwenye ngazi za juu na wapo bado kwenye ndoa?...most of the time wanaume mnakuwa so insecure ukiona mwanamke yupo juu yako hapo ndipo mnapoanzakuleta mtafaruku lakini wala siyo kweli kuwa huwa wanadharau wanaume wao...mfano mzuri Asha Migiro...yupo juu ya mumewe na wanaelewana.
 
Lini hao wanawake walikuwa upande wa Hillary? After all was said and done?

Now, Liberia ni case nyingine kabisa. Binafsi ningependa kuwepo na raisi mwanamke but sidhani kama itatokea in my lifetime na ikitokea I'll be pleasantly surprised.

Shame on all women who hated on my girl Hillary......

Alot of women walikuwa upande wa Hillary last minute...unless takwimu zako zilikuwa hazifanyi kazi vizuri nobody hated on her....at first Hillary hakujirepresent vizuri na wengi walikuwa na tofauti naye kutokana na mume wake lakini siyo kama hawakutaka kuwa on his side...
 
No way...kuna wanawake wengi tuu mbona wako kwenye ngazi za juu na wapo bado kwenye ndoa?...most of the time wanaume mnakuwa so insecure ukiona mwanamke yupo juu yako hapo ndipo mnapoanzakuleta mtafaruku lakini wala siyo kweli kuwa huwa wanadharau wanaume wao...mfano mzuri Asha Migiro...yupo juu ya mumewe na wanaelewana.

Kelly nimekuelewa,hata hivyo wengi wao siyo kama Asha Migiro,na kuwapata watanzania kama huyo mume wa Asha Migiro pia ni mbinde...Pia mwanamke kuwa juu ya wanaume wote hilo unalichukuliaje?
 
Habari yako Mr Mama!
Kuhani yuko wapi?

......hii thread mbona imekaa ki TGNP saana mods badili heading.....

BTW kama mnatetea wanawake awe juu...napinga......vitabu vya Muumba vinatukaza mwanamke kuwa mtawala ni awe chini ya mwanaume...
 
Alot of women walikuwa upande wa Hillary last minute...unless takwimu zako zilikuwa hazifanyi kazi vizuri nobody hated on her....at first Hillary hakujirepresent vizuri na wengi walikuwa na tofauti naye kutokana na mume wake lakini siyo kama hawakutaka kuwa on his side...

Lete hizo takwimu zinazoonyesha Hillary alianza kupata support ya wanawake mwishoni? Weka source hapa...
 
Kuhani yuko wapi?

......hii thread mbona imekaa ki TGNP saana mods badili heading.....

BTW kama mnatetea wanawake awe juu...napinga......vitabu vya Muumba vinatukaza mwanamke kuwa mtawala ni awe chini ya mwanaume...

Hahahah Kuhano atasambaratisha watu hapa na data zake duuu hahahaha mzee gender hukusoma kwenye DS 100 ama 200...
 
In all seriousness....sidhani kama mgombea mwanamke atafika mbali. Kikwazo kitakuwa wanawake wenzake! Atatokea mgombea mwanamme ambaye wanawake watadhani ni 'handsome' na watapagawa.

Angalia Hillary....wanawake wenzake ndio walikuwa kikwazo. Badala ya kuangalia hoja alizokuwa akitema Mama wa watu wakabaki kukosoa pant suits zake...mara ooh mumewe hivi....mara ooh...I can't stand that what rhymes with witch....mara ooh I just can't stand her coz she's mean looking...mara wakawa wana criticize make up zake...n.k.

I was very disappointed in the way other women treated Hillary. Hawakuonyesha solidarity hata kidogo. Akaja Mama Palin..wakaanza...wanawake hao hao...eti ooh...huyu atawezaje kulea familia na akawa makamu wa raisi wakati huo huo. Shameful. Ooh eti ana watoto watano....ala...ooh mara eti ni Diva....yaani upuuzi mtupu!

Kuja Obama...aaah...we acha tu. Mademu walikuwa wanazimia literally...wengine hadi wana-fantasize kufanyana naye. Hehehehe...vichekesho mtupu.

Objectively speaking...Mama won nearly every debate they had.

Oh....well...we shall see. But adui wa mwanamke ni mwanamke.

Leo imekuaje unatetea wanawake na wakati mara zoote hapa unamdhalilisha Mama na maneno yako yasio
 
Kelly nimekuelewa,hata hivyo wengi wao siyo kama Asha Migiro,na uwapata watanzania kama huyo wa Asha Migiro pia ni mbinde...Pia mwaname kuwa juu ya wanaume wote hilo unalichukuliaje?

Kweli kabisa Mangi...Mama Migiro siyo kama wanawake wengi. She is scrupulous. She carries herself well...with dignity. Hata ukimwangalia tu unatamani na wewe siku upate mwanamke kama huyo. Siyo kama hawa kina Mange sijui nani...they are all over the place with gazzillion of ex's. Ukienda Facebook wako...Hi5 wako...myspace wako...Tweeter..wako...what the hell.....How will that make anyone secure? Nobody, male or female!
 
Kuhani yuko wapi?

......hii thread mbona imekaa ki TGNP saana mods badili heading.....

BTW kama mnatetea wanawake awe juu...napinga......vitabu vya Muumba vinatukaza mwanamke kuwa mtawala ni awe chini ya mwanaume...

Whereever Mama is,Kuhani is certainly not very far away,so be patient maana styles zao wote ni za ku post na ku log out instantly...So wako hapa tuwape muda tu,Mama kishasema atakuja kutuelewesha na mimi namsubiri maana lazima atakuwa anajipanga kuja na dataz.
 
Kuhani yuko wapi?

......hii thread mbona imekaa ki TGNP saana mods badili heading.....

BTW kama mnatetea wanawake awe juu...napinga......vitabu vya Muumba vinatukaza mwanamke kuwa mtawala ni awe chini ya mwanaume...


what is TNGP...And dont tell me to google...
 
Jmushi...Mimi simuongelei JK sasa...as far as i know Jk hakuna chochote atakachofanya...nilisikiliza sana lile swali aliloulizwa na Isha Sesay na akashindwa kujibu na siyomara moja several time...
Nachoongelea sasa ni kufikiria mtu mwingine ambaye we think can do better than huko tulipotoka (back in years)...mtu amabye thinking capacity yake ni kubwa na yupo motivated kuchange sura ya Tanzania awe na Nia.....

Na ndiyo maana nikaja na suala la gender maana tumeongozwa na maraisi wa kiume na hakuna any changes.Kwa mtazamo wangu labda tuanze kufikiria na wanawake pia...hivi unajua sisi wanawake tunafikiria mbali sana kuliko nyie wanaume..though najua hamtakubaliana na mimi ila you need to think about it.
Wee chukua mifano ya makazini na maboss wa kike.

uraisi usijadiliwe kwa kuangalia gender, si sifa kabisa. haijalishi ni nani ila awe ni kiongozi wa kweli
 
Kosa linaanzia hapa... tunajadili watu badala ya sifa anazotakiw kuwa nazo kiongozi
 
Back
Top Bottom