Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Sasa nyie ndio mnataka uongozi?what is TNGP...And dont tell me to google...
Mbona mvivu? gangamara......
Tanzania Gender Networking Progamme - TGNP
Sasa nyie ndio mnataka uongozi?what is TNGP...And dont tell me to google...
Mimi sizioni zilipo....nisaidie.....au hutaki hata kutoa msaada?
Kweli kabisa Mangi...Mama Migiro siyo kama wanawake wengi. She is scrupulous. She carries herself well...with dignity. Hata ukimwangalia tu unatamani na wewe siku upate mwanamke kama huyo. Siyo kama hawa kina Mange sijui nani...they are all over the place with gazzillion of ex's. Ukienda Facebook wako...Hi5 wako...myspace wako...Tweeter..wako...what the hell.....How will that make anyone secure? Nobody, male or female!
hilo somo nilikuwa najenga vibanda hujui mie mzee wa ngwiniHahahah Kuhano atasambaratisha watu hapa na data zake duuu hahahaha mzee gender hukusoma kwenye DS 100 ama 200...
Sasa nyie ndio mnataka uongozi?
Mbona mvivu? gangamara......
Tanzania Gender Networking Progamme - TGNP
online...just google and type your question utapata all the evidence...maana tusiandike wakati wino upo.
Hahahahaha ukiona mtu anazungusha zungusha ujue kuna kitu...lol...
Haya basi nakubaliana na wewe (just for the sake of it) kuwa Hillary alipata support kubwa ya wanawake mwishoni...you won!
Hahahahaha ukiona mtu anazungusha zungusha ujue kuna kitu...lol...
Haya basi nakubaliana na wewe (just for the sake of it) kuwa Hillary alipata support kubwa ya wanawake mwishoni...you won!
kama unamdhalilisha mama ni wazi kuwa umewadhalilisha wanawake woote duniani.....Mama ni mama na mama sio balozi wa wanawake unless unamteua wewe....
Yes tunataka uongozi...siyo uvivu ila nilitaka uelezee badala ya kuaniambai go google....wakati unalo jibu hapo hapo....be straight foward.
Mama are you a homophrodite? or something like that.....nauliza tu ili nije na swali lingine...
Kweli kabisa Mangi...Mama Migiro siyo kama wanawake wengi. She is scrupulous. She carries herself well...with dignity. Hata ukimwangalia tu unatamani na wewe siku upate mwanamke kama huyo. Siyo kama hawa kina Mange sijui nani...they are all over the place with gazzillion of ex's. Ukienda Facebook wako...Hi5 wako...myspace wako...Tweeter..wako...what the hell.....How will that make anyone secure? Nobody, male or female!
kama unamdhalilisha mama ni wazi kuwa umewadhalilisha wanawake woote duniani.....
Kuwa na fb,myspace au hi5 profile doesnt mean huyu mwanamke siyo smart na kwamba she doesnt carry herself well....zile zipo ili kuweza ku interact na marafiki zako ambao umepoteana nao (long lost friends or relatives)....mbona kuna wanaume kibao kwenye hizo network have you ever think about them too?...
Wewe mbona umeniambia ni google data za Hillary unazodai zipo wazi wazi? Double standard?
Hakuna double standard hapa therefore the same applies.....but then again..I am me...and to each his/her own
Ndugu
Nawashukuru wote na hasa Kelly kwa kuleta mada hii.
Ahsanteni sana na Mungu awabariki wote.
lol sijakupa taw\kwimu za TGNP......No siyo double standard ila nilitaka kirefu cha TNGP....Sikutana anipe takwimu za TNGP....hata ningeenda ku-google nisingepata TNGP of course ingekutana na a lot of TNGP......See the difference?
what is TNGP...
Ndugu U, kwa manufaa ya wanaJF wasiojua maana ya hilo neno (maandishi mekundu), naomba uweke maana yake halisi na kwa lugha nyepesi na kisha uombe radhi.
Ndugu yangu, kama nilivyosema hapo awali maswali yote yatajibiwa utakapofika wakati muafaka.
Nawashukuru wote na hasa Kelly kwa kuleta mada hii.
Ahsanteni sana na Mungu awabariki wote.