Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Siyo ulichosikia, huo ndio utaratibu ulivyo na haujaanza leo, kumbuka hata Geturde Lwakatare aliingia bungeni baada yakifo cha Salome Mbatia, na yeye katika ile orodha jina lake ndio lilikuwa linafuatia.
Kumbe huyu Kakakiiza ni sehemu ya vilaza hapa JF? mbona hakuwahi kuhoji kwa nini mkoa wa Morogoro uwe na wabunge wa viti maalum wawili Regia Mtema na Suzan Kiwanga wakati mkoa wa Lindi hauna hata mbunge mmoja wa viti maalum!!?? huku ni kufikiri kwa kutumia kijambio.
asante mkuu, na asante wakuu wengine wote kwa kuwanyoosha hawa vilaza.
Akili wanazifungia kwenye makabati ya nguo nyumbani kwao, halafu wanakuja kusumbua watu hapa.