Watu tu hamsomi thread na posts za wenzenu. Hili suala Dr Slaa alilitolea ufafanuzi jana.Natumaini baada ya maelezo ya wachangiaji mbalimbali ktk uzi huu, wale wakosoaji waliokuwa wamekomaa kuilaumu Chadema bila kufanya utafiti hiyo nafasi inajazwa vipi, watarudi hapa, kuonyesha ukomavu wao wakiri hawakujua utaratibu unaotumika na waombe msamaha...!