Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 248
- 711
Makamanda wananipiga chenga hawataki kulipa madeni yangu wanasema hawajapata mshahara mpaka Jana jioni wqkati watumishi wengine tiyari wamenipa changu.
Mbona hii hali si kawaida au wameamua kunitapeli?
Mbona hii hali si kawaida au wameamua kunitapeli?