Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
Binafsi namuona Mbunge wa jimboni kwangu Mh. Katambi hata kwa uchawi hawezi toboa mbele ya kura za wajumbe.
Je, Mbunge katika jimbo lako atatoboa kwenye kura za Wajumbe?
Karibu.
Je, Mbunge katika jimbo lako atatoboa kwenye kura za Wajumbe?
Karibu.