Je, Marekani ina uwezo wa kupigana na Houthi kuilinda Israel?

Siku hizi kuondoa usumbufu mtu huwa anatuma dude moja tu basi biashara inaisha.
 
Wengine wanaweza kusema swali hilo ni kichekesho, lakini hali ilivyo sasa ni swali linalokwenda na wakati na kutaka kupatiwa jibu lake.

Tangu wanamgambo wa Houthi waanze kuingia kwenye mapambano kuwasaidia wenzao wa Gaza, Marekani imekuwa ikikasirika sana na hata kuwahi kusema Yemen ni rogue nation inayopasa kushughulikiwa.

Wanamgambo wa Houthi ambao ndio wanaoitawala Yemen hawajaonekana kutishika na maneno hayo ya Marekani kwani hapo juzi walizitia mchakamchaka meli 4 zenye mahusiano na Israel ikiwemo meli ya kivita ya Marekani yenyewe. Meli hiyo ya USS corney ilirushiwa kombora na droni na haijajulikana kwa uhakika madhara iliyopata.

Katika hali hiyo jee Marekani ina uwezo wa kuingia vitani na wanamgambo hao ili iwaondoe madarakani na kuihakikishia usalama wake Israel.

Hali za kisiasa duniani na uwezo wa kijeshi na kiuchumi wa Marekani jee unaipa nguvu nchi hiyo kupigana na Houthi na kuishinda na mwishowe kuweka kiongozi kibaraka watakayemchagua?

Ikumbukwe kuwa Houthi ni watawala wa taifa dhaifu sana lakini wamekalia eneo muhimu sana kiuchumi wa dunia na mienendo ya kijeshi. Kupambana nao mpaka kuwashinda moja kwa moja kunaweza kukamaliza nguvu zote za mtu huyo atakayejaribu kuingia vitani nao
Mmarekani baada ya kula kichapo cha Taliban mpaka kasalimu amri kawa muoga sana wa vita za uso kwa uso, haziwezi.

Ataoigana na Houthi kwa kuwaagizia mizinga ya mbali (missailes) tu. Uso kwa uso atawachonganisha na Wayemeni wengine waingie nao vitani wauwane wenyewe kwa wenyewe.

Kama alivyofanya Libya. Na anavyofanya Somalia, Somalia aliwapata Wakenya wenye tamaa akawanunuwa ndiyo wamekuwa "proxy" yake.
 
Mmarekani baada ya kula kichapo cha Taliban mpaka kasalimu amri kawa muoga sana wa vita za uso kwa uso, haziwezi.

Ataoigana na Houthi kwa kuwaagizia mizinga ya mbali (missailes) tu. Uso kwa uso atawachonganisha na Wayemeni wengine waingie nao vitani wauwane wenyewe kwa wenyewe.

Kama alivyofanya Libya. Na anavyofanya Somalia, Somalia aliwapata Wakenya wenye tamaa akawanunuwa ndiyo wamekuwa "proxy" yake.
Ubaya wa vita vya kufitinisha watu vinataka pesa nyingi na pesa Marekani zimemuishia.
Jengine watu wengi hawaiamini na hawaihseshimu tena Marekani kama ilivokuwa huko nyuma.Hivyo hizo pesa kidogo wanaweza kutoa zikaliwa kama kule Afghanistan na Iraq.
 
Ubaya wa vita vya kufitinisha watu vinataka pesa nyingi na pesa Marekani zimemuishia.
Jengine watu wengi hawaiamini na hawaihseshimu tena Marekani kama ilivokuwa huko nyuma.Hivyo hizo pesa kidogo wanaweza kutoa zikaliwa kama kule Afghanistan na Iraq.
Marekani anatumia pesa za Wasaudi kwa namna moja au nyingine.

Kiongozi wa mwisho kumwamini wa Kisaudi alikuwa King Faisal.
 
Nahuu ndio ukweli
Tena hasa kwanyakati hizi zasasa kisiasa kiuchumi na kijeshi zilivyo us hawezi ama hana uwezo kuingiza boot kwa ground katika laifa lolote lile
Kwanza atakosa sapota kwa mashost zake maana kwahali ya kiuchumi ilivyo us itamfata nani pale NATO au EU aende akampe kampani maana wote hali kwao tete kama sio kisiasa basi kijeshi nakama sio kijeshi basi kiuchumi
Naikitokea ndio us akavamia basi hii nafasi yawazi kabisa kuzidi kuangamia kwake itakayotumiwa na iran ☫ na Russia kumpelekesha us
Us mwenyewe nna imani anajua kama kwasasa kama kuna mtu anaetafutwa aingie mkenge ni yeye sidhanii kama wanaweza wakauingia huo mkenge
Mtoa mada hongera kwako hii mada nzuri sana
Hapa umeandika kweli,kwa kinachompata Russia pale Ukraine, lazima na yeye (Russia) anatafuta mwanya Ili aweze kulipiza popote USA atakapojiingiza kichwakichwa, sidhani kama US atakuwa boya kias hiki na kuuingia huu mtego

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli,mfalme Faisal alikuwa tofauti sana na wafalme waliomfuatia.
Ndiyo Wamarekani wakafanya kila njia wakamuuwa. Bado hajatokea kama Faisal.

Aliisimamisha mafuta, ndani ya saa 24 wakasimamisha ujinga wao na wakakaa kimya mpaka walipomuuwa.

Hawa wa sasa ni mazayuni wamepachikwa pacjikwa.
 
Mkuu kama ni hivyo basi kumbe Iran ni bonge moja la kubwa jinga. Kwanini asijiamini, inakuwaje anavitegemea vikundi vya vibaka kama Houths, Hezbollah na Hamas.
Hahaha yani unataka Iran watumie fikra zako waite upendavyo lalkini wanajua wanachokifanya bahari nyekundu haipitiki
 
Wengine wanaweza kusema swali hilo ni kichekesho, lakini hali ilivyo sasa ni swali linalokwenda na wakati na kutaka kupatiwa jibu lake.

Tangu wanamgambo wa Houthi waanze kuingia kwenye mapambano kuwasaidia wenzao wa Gaza, Marekani imekuwa ikikasirika sana na hata kuwahi kusema Yemen ni rogue nation inayopasa kushughulikiwa.

Wanamgambo wa Houthi ambao ndio wanaoitawala Yemen hawajaonekana kutishika na maneno hayo ya Marekani kwani hapo juzi walizitia mchakamchaka meli 4 zenye mahusiano na Israel ikiwemo meli ya kivita ya Marekani yenyewe. Meli hiyo ya USS corney ilirushiwa kombora na droni na haijajulikana kwa uhakika madhara iliyopata.

Katika hali hiyo jee Marekani ina uwezo wa kuingia vitani na wanamgambo hao ili iwaondoe madarakani na kuihakikishia usalama wake Israel.

Hali za kisiasa duniani na uwezo wa kijeshi na kiuchumi wa Marekani jee unaipa nguvu nchi hiyo kupigana na Houthi na kuishinda na mwishowe kuweka kiongozi kibaraka watakayemchagua?

Ikumbukwe kuwa Houthi ni watawala wa taifa dhaifu sana lakini wamekalia eneo muhimu sana kiuchumi wa dunia na mienendo ya kijeshi. Kupambana nao mpaka kuwashinda moja kwa moja kunaweza kukamaliza nguvu zote za mtu huyo atakayejaribu kuingia vitani nao
Kasha omba msaada kwa wengine waje wamsaidie
 
Wengine wanaweza kusema swali hilo ni kichekesho, lakini hali ilivyo sasa ni swali linalokwenda na wakati na kutaka kupatiwa jibu lake.

Tangu wanamgambo wa Houthi waanze kuingia kwenye mapambano kuwasaidia wenzao wa Gaza, Marekani imekuwa ikikasirika sana na hata kuwahi kusema Yemen ni rogue nation inayopasa kushughulikiwa.

Wanamgambo wa Houthi ambao ndio wanaoitawala Yemen hawajaonekana kutishika na maneno hayo ya Marekani kwani hapo juzi walizitia mchakamchaka meli 4 zenye mahusiano na Israel ikiwemo meli ya kivita ya Marekani yenyewe. Meli hiyo ya USS corney ilirushiwa kombora na droni na haijajulikana kwa uhakika madhara iliyopata.

Katika hali hiyo jee Marekani ina uwezo wa kuingia vitani na wanamgambo hao ili iwaondoe madarakani na kuihakikishia usalama wake Israel.

Hali za kisiasa duniani na uwezo wa kijeshi na kiuchumi wa Marekani jee unaipa nguvu nchi hiyo kupigana na Houthi na kuishinda na mwishowe kuweka kiongozi kibaraka watakayemchagua?

Ikumbukwe kuwa Houthi ni watawala wa taifa dhaifu sana lakini wamekalia eneo muhimu sana kiuchumi wa dunia na mienendo ya kijeshi. Kupambana nao mpaka kuwashinda moja kwa moja kunaweza kukamaliza nguvu zote za mtu huyo atakayejaribu kuingia vitani nao
Ni jambo la hatari sana kuchezea sharubu za Simba mwenye njaa.
 
Wengine wanaweza kusema swali hilo ni kichekesho, lakini hali ilivyo sasa ni swali linalokwenda na wakati na kutaka kupatiwa jibu lake.

Tangu wanamgambo wa Houthi waanze kuingia kwenye mapambano kuwasaidia wenzao wa Gaza, Marekani imekuwa ikikasirika sana na hata kuwahi kusema Yemen ni rogue nation inayopasa kushughulikiwa.

Wanamgambo wa Houthi ambao ndio wanaoitawala Yemen hawajaonekana kutishika na maneno hayo ya Marekani kwani hapo juzi walizitia mchakamchaka meli 4 zenye mahusiano na Israel ikiwemo meli ya kivita ya Marekani yenyewe. Meli hiyo ya USS corney ilirushiwa kombora na droni na haijajulikana kwa uhakika madhara iliyopata.

Katika hali hiyo jee Marekani ina uwezo wa kuingia vitani na wanamgambo hao ili iwaondoe madarakani na kuihakikishia usalama wake Israel.

Hali za kisiasa duniani na uwezo wa kijeshi na kiuchumi wa Marekani jee unaipa nguvu nchi hiyo kupigana na Houthi na kuishinda na mwishowe kuweka kiongozi kibaraka watakayemchagua?

Ikumbukwe kuwa Houthi ni watawala wa taifa dhaifu sana lakini wamekalia eneo muhimu sana kiuchumi wa dunia na mienendo ya kijeshi. Kupambana nao mpaka kuwashinda moja kwa moja kunaweza kukamaliza nguvu zote za mtu huyo atakayejaribu kuingia vitani nao
Wamarekani sera yao sasa hivi ni kuwagombanisha muuwane wenyewe kwa wenyewe.

Anakusanya nchi zenye tamaa zikqpigane na Wahouthi.

Wahouthi leo wamewaudhi tena Wamarekani, wamesema meli za Warusi. hazishambuliwi.

Maana yake watu wakitaka kupitisha bidhaa zao hapo watumie meli za Kirusi.

Yote katika kucheza na akili za Wamarekani tu.
 
Ni jambo la hatari sana kuchezea sharubu za Simba mwenye njaa.
Hao wadhaj7l8kanaberaknessntaobtokanwsl7potolrws mkulubna Afghanistan.

Sasa hivi hawana ujanja zaidi ya kutumia majeshi ya nchi za wenye njaa tu, kama wanavyowatumia Wakenya walipotolewa mkuku Somalia.

Hii post aione MK254
 
Back
Top Bottom