Jana katika pitapita zangu niliwakuta Mabere nyaucho Marando na Dr Lamwai katika mzingira ambayo yalinitia wasiwasi kama yana neema kwa CDM tafadhali mwenye kujua anijuze kulikoni katika kona ile na si mahali wazi. Sina mashaka na Mabere lakini kwa tofauti zao za itikadi mahusiano hayo ni mazuri kwetu. Najua ni marafiki sana lakini si mwamini Dr Lamwai kwa hali yeyote ile naogopa CDM kupitia njia ya NCCR MAGEUZI