Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kwa muda sasa watanzania wamekuwa wakimungunya mungunya maneno kuwa wanakandamizwa eti hali yao mbaya, ukienda mtaani vijiweni utakuta wanaongelea dowans, kupanda kwa maisha, IPTL , EPA, kagoda. RA etc huku serikali yao inasema mambo ni safi
Ukija hapo JF unakuta watu wako nyuma ya monitor zao wanacheza na keyboard kama kawaida wanamungunya mungunya bila kutenda.
Je kama wewe mwanaJF hii hali unaonaje?
Watanzania wamekuwa mazezeta?
WanaJF wamekuwa wamungunyaji wa maneno?
Ukija hapo JF unakuta watu wako nyuma ya monitor zao wanacheza na keyboard kama kawaida wanamungunya mungunya bila kutenda.
Je kama wewe mwanaJF hii hali unaonaje?
Watanzania wamekuwa mazezeta?
WanaJF wamekuwa wamungunyaji wa maneno?