Je kwanini tunafoka?

Nimeipenda hii ila hawa binadamu wanakera sana tena wengine kwa makusudi ,sio mbaya mapenzi yakivunjika nntakuwa nimeepuka mengi na nntatafuta mwingine..
 
Mwalimu Mbobezi wa Saikolojia akiwa anafundisha kuhusu mahusiano, aliwauliza wanafunzi wake. Kwanini tunafokea na kukaripia tunapokuwa tumekasirika? Kwanini watu wanafokeana na kukaripiana kwa sauti kubwa?

Wanafunzi wakafikiri kwa muda, mmoja akasema, ni kwa sababu tunakuwa tumepoteza utulivu wa nafsi na hasira inakua juu sana. Lakini Mwalimu akauliza tena, sasa kwanini ushauti na kupiga kelele kwa nguvu wakati yupo hapo jirani yako na hayuko mbali?

Je haiwezekani kuongea nae kwa utaratibu na kwa sauti ya chini? Kwanini unapiga kelele kwa mtu akiwa amekuudhi?

Wanafunzi waliendelea kumjibu lakini hakuna hata mmoja alietoa jibu la kumridhisha Mwalimu.

Baadae, Mwalimu akawaelezea hivi, "pale watu wawili wanapokua na hasira kila mmoja na mwenziwe, kisaikolojia kunakuwa na umbali wa mioyo yao.

Kuweza kucover huo umbali, lazima wafokeane kwa nguvu na kwa sauti ya juu ili waweze kusikilizana. Jinsi wanavyokua wanazidi kupata hasira na ndio jinsi watazidi kupaza sauti zao kwa sababu na umbali wa mioyo yao unaongezeka.

Baada ya hilo jibu Mwalimu akauliza tena, "Inatokea nini pale watu wawili wanavyopendana? - akajijibu kwa kusema kwamba "hawawezi kukaripiana ila wataongea taratibu na kwa lugha laini, kwanini? Ni kwa sababu kisaikolojia mioyo yao ipo karibu kabisa.

Distance ya mioyo yao ni ndogo mno. Mwalimu akaendelea, "pale watavyozidi kupendana zaidi, nini kinatokea? Hawataongea, watanong'ona tu hata kama wakiongea kwenye simu, na watazidi kuwa karibu mno katika mapenzi yao.

Na mwishowe hawatahitaji kunong'ona tena, bali wataangaliana tu na basi kila mmoja atapata ujumbe kutoka kwa mwenzake hasa kwenye tendo la ndoa.

Hivyo basi, mtambue kwamba pale mnapogombana na wapenzi wenu mnatengeneza kaumbali fulani kati ya mioyo yenu na ya wapenzi wenu. Na ndivyo taratibu mnavyoua mahusiano yenu.

Kukwaruzana kwenye mahusiano hakukosekani, ila ni vema mkasuruhishana mapema na kurudi katika hali ya kawaida.

Mungu akabariki mahusiano yenu, akawaondolee kila aina ya kikwazo, mkaishi kwa furaha na upendo huku mkizikumbuka zile nyakati za mwanzo wakati mapenzi yenu yakianza!!

Si vibaya tukisema 'AMEN!
Amen.
 
Mwalimu Mbobezi wa Saikolojia akiwa anafundisha kuhusu mahusiano, aliwauliza wanafunzi wake. Kwanini tunafokea na kukaripia tunapokuwa tumekasirika? Kwanini watu wanafokeana na kukaripiana kwa sauti kubwa?

Wanafunzi wakafikiri kwa muda, mmoja akasema, ni kwa sababu tunakuwa tumepoteza utulivu wa nafsi na hasira inakua juu sana. Lakini Mwalimu akauliza tena, sasa kwanini ushauti na kupiga kelele kwa nguvu wakati yupo hapo jirani yako na hayuko mbali?

Je haiwezekani kuongea nae kwa utaratibu na kwa sauti ya chini? Kwanini unapiga kelele kwa mtu akiwa amekuudhi?

Wanafunzi waliendelea kumjibu lakini hakuna hata mmoja alietoa jibu la kumridhisha Mwalimu.

Baadae, Mwalimu akawaelezea hivi, "pale watu wawili wanapokua na hasira kila mmoja na mwenziwe, kisaikolojia kunakuwa na umbali wa mioyo yao.

Kuweza kucover huo umbali, lazima wafokeane kwa nguvu na kwa sauti ya juu ili waweze kusikilizana. Jinsi wanavyokua wanazidi kupata hasira na ndio jinsi watazidi kupaza sauti zao kwa sababu na umbali wa mioyo yao unaongezeka.

Baada ya hilo jibu Mwalimu akauliza tena, "Inatokea nini pale watu wawili wanavyopendana? - akajijibu kwa kusema kwamba "hawawezi kukaripiana ila wataongea taratibu na kwa lugha laini, kwanini? Ni kwa sababu kisaikolojia mioyo yao ipo karibu kabisa.

Distance ya mioyo yao ni ndogo mno. Mwalimu akaendelea, "pale watavyozidi kupendana zaidi, nini kinatokea? Hawataongea, watanong'ona tu hata kama wakiongea kwenye simu, na watazidi kuwa karibu mno katika mapenzi yao.

Na mwishowe hawatahitaji kunong'ona tena, bali wataangaliana tu na basi kila mmoja atapata ujumbe kutoka kwa mwenzake hasa kwenye tendo la ndoa.

Hivyo basi, mtambue kwamba pale mnapogombana na wapenzi wenu mnatengeneza kaumbali fulani kati ya mioyo yenu na ya wapenzi wenu. Na ndivyo taratibu mnavyoua mahusiano yenu.

Kukwaruzana kwenye mahusiano hakukosekani, ila ni vema mkasuruhishana mapema na kurudi katika hali ya kawaida.

Mungu akabariki mahusiano yenu, akawaondolee kila aina ya kikwazo, mkaishi kwa furaha na upendo huku mkizikumbuka zile nyakati za mwanzo wakati mapenzi yenu yakianza!!

Si vibaya tukisema 'AMEN!

Huyo mwalimu atakuwa jesca kilaza.

Ktk mental health kuna kitu kinaitwa defence mechanism hii kila mmoja wetu ana ya kwake na hutokea tu pale MTU anapokabiliana na tatizo. Zipo ktk form nying na nyingne ni health nyingne mentally ill

Kuna aina moja wapo inaitwa Ventilation hii hutokea pale mtu linapomkuta jambo na kumeletea athari ktk afya ya kiakili mfano hilo jambo lilimepelekea kukasirika (aggressive) hali hii ya kufoka hutokea na humsaidia mtu kupata relief na kupunguza mzigo aliona nao Wa hasira
 
Huyo mwalimu atakuwa jesca kilaza.

Ktk mental health kuna kitu kinaitwa defence mechanism hii kila mmoja wetu ana ya kwake na hutokea tu pale MTU anapokabiliana na tatizo. Zipo ktk form nying na nyingne ni health nyingne mentally ill

Kuna aina moja wapo inaitwa Ventilation hii hutokea pale mtu linapomkuta jambo na kumeletea athari ktk afya ya kiakili mfano hilo jambo lilimepelekea kukasirika (aggressive) hali hii ya kutoka hutokea na humsaidia mtu kupata relief na kupunguza mzigo aliona nao Wa hasira
Mohamedy cadinaly hebu Nenda deep kidogo kwa maslah ya umma
 
Asante mkuu kwa posti nzuri. Kuna mambo mengi binadamu hatuyajui, hivyo ni vizuri kuacha milango wazi ili tuzidi kupata elimu.
 
Mbona akinikosea huwa tunanuniana hatusemeshani ht wiki.hamna kufoka wala nn kila kitu kimyakimya!!hapo umesema mkifokeana mnajenga umbali je mkinuniana kmykmy mtajenga ukaribu?!
 
Huyo mwalimu atakuwa ***** ******.

Ktk mental health kuna kitu kinaitwa defence mechanism hii kila mmoja wetu ana ya kwake na hutokea tu pale MTU anapokabiliana na tatizo. Zipo ktk form nying na nyingne ni health nyingne mentally ill

Kuna aina moja wapo inaitwa Ventilation hii hutokea pale mtu linapomkuta jambo na kumeletea athari ktk afya ya kiakili mfano hilo jambo lilimepelekea kukasirika (aggressive) hali hii ya kufoka hutokea na humsaidia mtu kupata relief na kupunguza mzigo aliona nao Wa hasira
Hembu leta more material brother kaka watu tuelimike. hili ni jukwaa la kuelimishana.....
 
Back
Top Bottom