mji wa jarusalem umekuwa na fujo kwa sababu hao wayahudi walipewa mji wa uganda walikuwa waletwe uganda ndio uwe mji wao wakakataa wakatafytiwa israel wakakubali na sasa wanataka kuongeza sehemu ndio wameitaka jarusalem wakati wao ni wakuja tu tena mshukuru mungu waliiikataa uganda wangekubali kuishi hapo leo wewe usingewapenda hao wayahudi maana wanafitina na tamaa wangeongeza ardhi wakasema na bukoba yao na baadae mwanza yao ungefanya nini