GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,128
- 110,523
GENTAMYCINE sitaki kabisa kuamini kuwa haya maamuzi ninayoyaita ya kipumbavu na kishamba yaliyofanywa na Kiongozi wa Matawi wa Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam ya kuwataka wana Yanga SC wote kususia kununua bidhaa zozote zile za Azam yamefanywa kwa ama bahati mbaya au kwa kukurupuka tu.
Ukituliza akili yako vizuri hapa utagundua ya kwamba GSM alikuwa anaitafuta siku nyingi sana hii Hhli itokee ili sababu ipatikane na yeye atumie huo mwanya kujiimarisha kibiashara lakini pia nae kuanza kuuza bidhaa baadhi ambazo Kampuni ya Azam inatengeneza na hata kubumi zaidi.
Kuna taarifa nimepenyezewa kuwa kumbe hata GSM nae yuko mbioni kuanzisha Kampuni ya kutengeneza bidhaa (products) zote anazotengeneza Azam akiwa na lengo kuu la kutaka kuliteka Soko la Tanzania.
Ambapo kwa msaada mkubwa anaopewa na Mstaafu mmoja mwenye ushawishi mkubwa katika Awamu ya Sita hii huenda hili likawezekana na hata dalili fulani fulani zimeshaanza kujitokeza.
Sasa ni wazi vita ya GSM na AZAM ndiyo imeshaanza hivyo na kuna Uwezekano mkubwa kuanzia sasa Utajiri mkubwa wa Mzee Bakhressa ukawa tempered Kimakusudi na Watu wa Kodi kwa Maagizo ya Watu wa Mamlaka wenye Uyanga Uliotukuka kwa Ushawishi mkubwa wa Mstaafu ambaye inasemekana katika Utajiri wa GSM Yeye ana Share kama 75% hivi ila GSM anapaishwa Kimkakati ili Kuwazuga Watanzania wasimjue Mmiliki Mkuu aliye nyuma ya GSM.
Ukituliza akili yako vizuri hapa utagundua ya kwamba GSM alikuwa anaitafuta siku nyingi sana hii Hhli itokee ili sababu ipatikane na yeye atumie huo mwanya kujiimarisha kibiashara lakini pia nae kuanza kuuza bidhaa baadhi ambazo Kampuni ya Azam inatengeneza na hata kubumi zaidi.
Kuna taarifa nimepenyezewa kuwa kumbe hata GSM nae yuko mbioni kuanzisha Kampuni ya kutengeneza bidhaa (products) zote anazotengeneza Azam akiwa na lengo kuu la kutaka kuliteka Soko la Tanzania.
Ambapo kwa msaada mkubwa anaopewa na Mstaafu mmoja mwenye ushawishi mkubwa katika Awamu ya Sita hii huenda hili likawezekana na hata dalili fulani fulani zimeshaanza kujitokeza.
Sasa ni wazi vita ya GSM na AZAM ndiyo imeshaanza hivyo na kuna Uwezekano mkubwa kuanzia sasa Utajiri mkubwa wa Mzee Bakhressa ukawa tempered Kimakusudi na Watu wa Kodi kwa Maagizo ya Watu wa Mamlaka wenye Uyanga Uliotukuka kwa Ushawishi mkubwa wa Mstaafu ambaye inasemekana katika Utajiri wa GSM Yeye ana Share kama 75% hivi ila GSM anapaishwa Kimkakati ili Kuwazuga Watanzania wasimjue Mmiliki Mkuu aliye nyuma ya GSM.