Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Jamani wasalam wanajamvi mm huwa najiuliza sana kuhusu watu kuwa na kasumba ya kukumbushia penzi kwa mtu aliyeachana naye muda mrefu na kila mtu akaenda kwenye njia zake nyingine labda mwanaume kaoa au mwanamke kaolewa lakini utashangaa mwanaume akikutana na huyo mpenzi wake wa zamani anataka waanze tena au wawe wanakumbushia. Tatizo langu ni je wakati waachana siilionekana wameshindwana sasa kwanini wakumbushie enzi?Jamani nisaidieni ni muhimu​ kukumbushia penzi la zamani? .