Je kuna Ukweli Wadada/Wanawake wakiwa period ni wakali kwa waume /BF Wao?

ni namna ya kumsoma tu huyo mwanamke

ukijua kipindi hicho hapendi kuulizwa ulizwa masuala, unaacha kumuuliza unampa space yake.
 
ni namna ya kumsoma tu huyo mwanamke

ukijua kipindi hicho hapendi kuulizwa ulizwa masuala, unaacha kumuuliza unampa space yake.
wanaume wengine wanakusudi dada usipime! hapo ndo anakuchokoza kabisa
 
Ni kweli mkuu, huwa tunakuwa wakali sana hata kitu kidogo tunakasirika, wakati mwingine wenyewe huwa tunshangaa hata kwa hili tunakasirika? ila tumetofautiana viwango kati ya msichana mmoja na mwingine. Hii ni biological factor but i cant explain in detail, Just be patient and tolerant to your wife.
 
umenikumbusha mbali sanaaaaaaa, nagombana na jamaa yangu kila ikifika hichi kipindi,hata kama hamna ugomvi utatafuta kisa cha nyuma,miaka ileee iliyopita, baada ya kugundua huu mchezo mchafu,nimejitahidi sana ku control lakini wapi,ni ngumu sana,naweza nikapitisha hizo siku nne bila hata ya kuongea na mtu,sasa chuo ndio walikuwa wananikoma,ukiniita tu nimekugeukia na WHATTTTTTTTTTTT!
nachukia sana ukifika huu muda,nakuwa na hasira mpaka nahisi kupasuka,thanks GOD sijawahi kuitwa kwenye interview nikiwa period
 
:confused2::confused2:

mmh sina uhakika ila kuna fununu nilizisikia kama sio hapa hapa JF kuwa wanakuwa na hamu sana wakati huo..........asa cjui ukali huwa ni matokeo kuwa hawawezi saidiwa ile huduma ama vipi?

Lakini wapo hapa hebu watujuvye

kuhusu kuwa na hamu sijalifanyia sana utafiti,ila ninachojua siku ambayo yai ndio limepevuka linasubiria mbegu,acha bwana,usipoangalia unabaka,wadudu wadogowadogo wanatekenya mpaka basi,especial ukiwa mwanafunzi hauhitaji mtoto,nafikiri hamu inazidi mara mia
haya ni kwa upabde wangu,labda tupo tofauti
 
Mie mbona nakuwaga na furaha sana kipindi hicho:becky::becky::becky::becky::smile-big::smile-big:
 
:confused2::confused2:

mmh sina uhakika ila kuna fununu nilizisikia kama sio hapa hapa JF kuwa wanakuwa na hamu sana wakati huo..........asa cjui ukali huwa ni matokeo kuwa hawawezi saidiwa ile huduma ama vipi?

Lakini wapo hapa hebu watujuvye
ni kweli wakiwa kwenye period wanakuwa na nyegerere vibaya mno hilo la hasira sina uhakika lakini nadhani inategemea mtu na mtu
 
Hili suala kama nilivyosema linatokana na mabadiliko ya hormones. Moving from estrogen at ovulation to progesterone peak before menses siyo kitu kidogo. Ni muhimu kuelewa na kuwasaidia. Binafsi nilikuwa nakwazika sana ila baada ya kuwa mtu mzima na kuelewa vizuri hizo dynamics naona ni kawaida tu. Hakuna justification kukimbilia nje kwani hata hao wa nje wana hormone cycles kama za wake zetu. Tofauti ni kuwa, kule nyumba ndogo watu hawaendi kipindi hicho vinginevyo wangeyaona hayo matatizo ya mood.

Kama DC alivyoelezea,
hayo ni mabadiliko ya kifiziolojia (physiological changes due to hormonal imbalances). Kiasi kingi cha progesterone (P), ambayo ndiyo inayosababisha mwanamke kuingia mwizini, ndicho kinasababisha mabadiliko ya tabia, mara nyingi inajitokeza kama kuwa na hasira. Namna mojawapo rahisi ya kupunguza P ni mtu kupiga makelele au kufanya vurugu yoyote ile. Hivyo utaona wanawake (majority) wanakuwa wagomvi na wengi wa hasira katika hicho kipindi; hiyo ni negative feedback mechanism, ambayo inasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza P mwilini na hatimaye kuweka balance inayomrudisha mwanamke katika hali yake ya kawaida.
 
:hurt:

Huwa napenda sana kumkumbusha mwenzi wangu kuwa ''nakupenda, hata km ukiwa mkali, najua ni kipindi cha mpito'' anabaki kucheka. Anashsngaa kuwa mimi namjuwa zaidi ya yeye anavyojijuwa. Ni raha lakini ukimjuwa mwenzi wako, maisha tambalale tu yanakuwa.
 
Back
Top Bottom