Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
ndoa za aina hii
1. ndoa hii mwanamke anapewa kila kitu mpaka kiberiti,haijalishi kama mke ana pesa au la ...ukija suala la mapenzi anapewa A anajua njia zote za kucheza na akili za wanawake mtundu in short, lakini mwanaume huyu anafanya uchafu wake wa kumtosha mlevi,malaya yote mabaya lakini mke hakoromi kwake na wakati mwingine akiona hata msg kwenye simu ya mume anaogopa aanzie wapi kuuliza maana kama ni kila analohitaji anapata.
2.hapa ni nusu nusu leta nilete hata kama yeye ndio ana kipato kuliko mama na mahitaji binafsi ya mama ni yako, lakini baba huyu mstaarabu anajitahidi kutunza heshima ya familia hakosi maudhi yake lakini hayafanani na huyo wa kwanza.
3 ndoa hii ni ile ya kushirikiana kwa pamoja kusaidiana , mume/mke yupo wazi pesa yake ya wote hamna anayefanya chochote bila mwenzie kushirikishwa baba anajali mke,mama vile vile.
ndoa ipi kati ya hizi ukipewa uchague litakuwa pendekezo lako. naamini wengi wataona ndoa no 3 ndio nzuri ,lakini je ni kwanini kuna stori nyingi zinazoendelea na watu kuamini wadada wanapenda mshiko zaidi.
ndoa no 1 is more likely kuvumiliwa na wadada wengi kama watu wengi wanavoamini kuliko hizo mbili sababu tu maisha yake yamewekwa level na Mr akiamini atachuja mjini akijaribu kutoa miguu yake
ANGALIZO:sio wadada wote wako ivo ila inaaminika wengi wapo ivo, nahitaji mchango wa kina baba pia tukiangalia zaidi suala la mapato yetu na maisha ya kisasa yanavoadhiri ndoa zetu. ukiona jirani yako kanunuliwa harrier kesho nawe bishoga wataka bila kujali kipato cha mwezi wako.
1. ndoa hii mwanamke anapewa kila kitu mpaka kiberiti,haijalishi kama mke ana pesa au la ...ukija suala la mapenzi anapewa A anajua njia zote za kucheza na akili za wanawake mtundu in short, lakini mwanaume huyu anafanya uchafu wake wa kumtosha mlevi,malaya yote mabaya lakini mke hakoromi kwake na wakati mwingine akiona hata msg kwenye simu ya mume anaogopa aanzie wapi kuuliza maana kama ni kila analohitaji anapata.
2.hapa ni nusu nusu leta nilete hata kama yeye ndio ana kipato kuliko mama na mahitaji binafsi ya mama ni yako, lakini baba huyu mstaarabu anajitahidi kutunza heshima ya familia hakosi maudhi yake lakini hayafanani na huyo wa kwanza.
3 ndoa hii ni ile ya kushirikiana kwa pamoja kusaidiana , mume/mke yupo wazi pesa yake ya wote hamna anayefanya chochote bila mwenzie kushirikishwa baba anajali mke,mama vile vile.
ndoa ipi kati ya hizi ukipewa uchague litakuwa pendekezo lako. naamini wengi wataona ndoa no 3 ndio nzuri ,lakini je ni kwanini kuna stori nyingi zinazoendelea na watu kuamini wadada wanapenda mshiko zaidi.
ndoa no 1 is more likely kuvumiliwa na wadada wengi kama watu wengi wanavoamini kuliko hizo mbili sababu tu maisha yake yamewekwa level na Mr akiamini atachuja mjini akijaribu kutoa miguu yake
ANGALIZO:sio wadada wote wako ivo ila inaaminika wengi wapo ivo, nahitaji mchango wa kina baba pia tukiangalia zaidi suala la mapato yetu na maisha ya kisasa yanavoadhiri ndoa zetu. ukiona jirani yako kanunuliwa harrier kesho nawe bishoga wataka bila kujali kipato cha mwezi wako.