Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,069
40,732
Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
==========================

UPDATE: 22/02/2024


BASHE: WAFANYABIASHARA WA SUKARI WACHAGUE KUUZA AU KUACHA, TUMEWALINDA VYA KUTOSHA
Akifafanua kuhusu changamoto ya Sukari Nchini, Waziri wa Kilimo, Hussein Mohammed Bashe amegusia kuhusu Serikali kufanya mabadiliko ya biashara ya sukari na kuruhusu ushindani wa biashara hiyo kwa wawekezaji wa ndani na wa nje ya Nchi”
 
Umeandika facts kabisaa,,, tatizo la hii nchi walioko kwenye maamuz akili zilishaganda kwa utamu wa asali na wenye akili timamu hawaruhusiwi kabisaa kupewa mamlaka,,, hii kauli ya sukari ya nje hairuhusiwi kuagizwa kwa soko huru ina ukakasi sana probably inanufaisha sana wachache!
 
Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
Wazo murua kabisa.
 
Kwa jinsi hali ilivyo, hawa wenye viwanda wapewe ultimatum, kama wanalindwa basi waonyeshe matumda ya ulinzi mzito wanaopewa, waongeze uzalishaji kwa kiwamgo sahihi.., ya nini kuwalinda kama wamedumaa na hawakui, faida yake ni ipi?!!!
Aiseeee, hivi ukitazama kwenye Uongozi uliopo, unamuona nani mpaka sasa amebakiwa na akili timamu na uchungu kwa taifa hili?..,

Yani hata kama wewe ndo unataka madili meusi uyafanyie kazi kisawasawa na tayari kidogo unakajina, huu ndo wakati wako....
 
Ishu ya Sukari ni kwamba wao wameiweka kwenye kundi la madawa ya kulevya hata viwanda vinaambiwa kiwango cha kutengeneza ili wahuni wachache watoe rushwa wapewe Vibali kama kweli tuna uhaba wa Sukari waaambiwe mwenye nguvu akalete sukari na kuuza kwa bei yake uone kama hayo mambo yatatokea tena...
 
Tanzania fisadi na mla rushwa mkubwa wa mabilioni hafungwi hata kwa bahati mbaya ndio maana wanajiachia kwa kadri wanavyo penda, na hii ni moja ya sababu ya kwa nini hua nina amini Tanzania ilitakiwa kuendelea kutawaliwa kimabavu na wakoloni tuu pengine hali ingekua tofauti
 
Ishu ya Sukari ni kwamba wao wameiweka kwenye kundi la madawa ya kulevya hata viwanda vinaambiwa kiwango cha kutengeneza ili wahuni wachache watoe rushwa wapewe Vibali kama kweli tuna uhaba wa Sukari waaambiwe mwenye nguvu akalete sukari na kuuza kwa bei yake uone kama hayo mambo yatatokea tena...
Acha bhana.., kumbe hivi viwanda vinawekewa limit ya kiasi cha kuzalisha?!!!! Huu mbona kama ni Umafia tunafanyiwa na serikali yetu wenyewe dhidi ya walalahoi?!
 
Tunafahamu lengo ni kulinda viwanda vya ndani, ila je, hivyo viwanda vya ndani vinakidhi mahitaji?

Kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani, mbona viwanda husika haviongezeki ukubwa wala idadi? Kwanini havikuwi pamoja na ukinzi wote huu at the expemse ya WaTZ kununua sukari shs. 6,000/= kwa kilo?

Huu mzigo mzito hivi wa kulinda viwanda vya wahindi anaobeneshwa mTz ni kwa faida ya nani? Iweje mijitu inalindwa kila siku kw amaumivu na mateso makali, ila haiongezi uzalishaji, kwanini?

Hawa washenzi tumewahakikishia soko la ndani la uhakika, tumewahakikishia ardhickubwa ya uhakika ya kulima miwa, tunawalindia soko lao kisheria Kwa maumivu na mateso makali, kwanini hawaongezi uzalishaji tu, kwanini?

Dawa pekee ya kuzuia uhaba na hujuma ya wanaoficha sukari ili kupandisha bei ni kuzalisha nyingi kiasi kwamba waishie maghala ya kuficha sukari, yaani wakificha tani 100 wewe unazalisha tani 200, wakificha tena hizo 200 wewe unazalisha tani 400, dawa ni hiyo kote.

Leo jaribu kuficha chumvi ili upandishe bei, ndio utajua hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ukifcha tani 100 za chumvi, Neel salt anachukua ile pesa uliyonunulia hizo tani 100 kisha anaenda kuzalisha tani 500.., tuone kama utaficha tena.

USHAURI: Kwakuwa wahindi wenye viwanda wameamua kushirikiana na walanguzi kwa kuzalisha sukari kidogo ili wapewe vibali (kumbuka wanaopewa vibali vya kuagiza sukari ni wamiliki wa viwanda vya sukari nchini tu) vya kuagiza sukari na kuja kuiuza kwa bei mara tatu hadi nne nankisha kugawana pesa hiyo na serikali kupitia watendaji na waziri mwenye dhamana kwa mfumo wa rushwa nzito za mabilioni kwa mabilioni;

SASA TUNAHITAJI SUKARI IAGIZWE KWA UHURU KAMA NGUO KARIAKOO,

Sababu sheria hii ya kulinda sukari inawafaidisha walanguzi na watendaji wa serikali wala rushwa, kama hivi viwanda vimeshindwa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kupewa ulinzi mzito kiasi hiki, basi let nature take its course, kama kufa vife tu! Tumeumizwa vya kutosha.
hiyo biashara ipo controlled kwa maslahi yetu sisi viongozi
 
Back
Top Bottom