King JiluX
Member
- Jan 30, 2018
- 62
- 42
Kumekuwa na maoni kadhaa kuhusu ni bati kutoka kampuni ipi hasa ya kutumia wakati wa kupaua ukizingatia tofauti ya bei kutoka kampuni hizo, huku kukiwa na maneno kuwa kuna baadhi ya kampuni zinauza kwa gharama ya juu kisa jina tu la brand ila katika ubora kuna kampuni zenye mabati bora ila kutokana na kutokuwa na majina makubwa zimekuwa zikiuza bati kwa bei nafuu.
Kama ilivyo kasumba ya kiafrika kuwa chenye bei ndogo basi kitakuwa na quality ndogo, jambo ambalo siliamini hilo.
Leo nimekuja kwenu wana jamvi kuuliza iwapo kuna mwenye ushuhuda wowote kuhusu hizi bati zenye muonekano wa vigae na chengachenga kama kuna bati kutoka kampuni yoyote aliyowahi kuona ikiwa imepauka, maana nimezunguka binafsi sijawahi kuona bati za aina hiyo zilizopauka. Naalika ushuhuda kutoka kwenu. AHSANTENI.
Kama ilivyo kasumba ya kiafrika kuwa chenye bei ndogo basi kitakuwa na quality ndogo, jambo ambalo siliamini hilo.
Leo nimekuja kwenu wana jamvi kuuliza iwapo kuna mwenye ushuhuda wowote kuhusu hizi bati zenye muonekano wa vigae na chengachenga kama kuna bati kutoka kampuni yoyote aliyowahi kuona ikiwa imepauka, maana nimezunguka binafsi sijawahi kuona bati za aina hiyo zilizopauka. Naalika ushuhuda kutoka kwenu. AHSANTENI.