Somoe
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 754
- 282
Kwanza naomba mnisamehe, mie nataka kufanya biashara ya vitu vya bei mbaya na high quality maeneo ya posta mpya, kariakoo, ila sasa sijajua jinsi ya kupata duka la kulikodi. Je kuna kampuni inayokodisha maduka kariakoo au Posta au mnazi mmoja? Nisaidieni mwenzenu natanguliza asante