Kukondeana na wembamba ni vitu viwili tofauti. sio kweli kwamba mtu mwembamba amekondeana. Ila wengi ya waliokondena wana roho mbaya...naungana na mtoa mada.si kweli! kwa mana walioishikilia hii nchi wengi ni wanene na wanaroho mbaya sana sana sana! lakini wanao itetea hii nchi wengi ni wembamba na wanaroho safi sana sana sana! mpaka wanaamua kuitetea nchi yao.
angalieni watu maarufu wote ambao wenye roho nzuri wengi ni wembamba, na wengi wanene ni roho mbaya mnooo.
hata adamu na eva walikuwa wembamba! na manabii wengi walikuwa wembamba.
dunia ya sasa wengi ni wanene kwa vya uharamu! pombe,ufisadi, kula vyakula kwa kudhulumu n.k
anayekuwa mwembamba kwasababu ya mtu fulani, ujue anachukia yale mabaya yanayofanywa na mtu huyo.
mifano tazameni nchi yenu na viongozi wake,celebrit wake n.k na pia angalienie viongozi wa nje wenye roho nzuri na maceleb wao na watu maarufu wenye roho safi.
Kumbe na wewe hujui tofauti ya kukondeana na wembamba