Je kukondeana ni dalili ya kuwa na roho mbaya...................?

Suali linabaki pale pale, hiyo roho mbaya inakuja ikiondoka?

Yaani leo anayo kwa kuwa ana mume anaembugudhi, mume akifa, roho mbaya inaondoka

Kwa hiyo ni sawa na kusema roho mbaya ni sawa na ugonjwa tu, unakuja ukiondoka

roho mbaya hupungua na kuongezeka
haiondoki kabisa
mfano nina roho mbaya sikupendi..
nikisikia umefukuzwa kazi..nanenepa
umepata kazi mpya bomba,nakonda...hivyo hivyo kila siku
 
roho mbaya hupungua na kuongezeka
haiondoki kabisa
mfano nina roho mbaya sikupendi..
nikisikia umefukuzwa kazi..nanenepa
umepata kazi mpya bomba,nakonda...hivyo hivyo kila siku

Mfano uliotoa wa mume alokufa inakuwaje? Kwa nini isiondoke kabisa wakati huyo anaemfanyia roho mbaya ameshakufa?
 
labda watu mlete mifano kwa picha...ya alokondeana, mwembaba na mnene otherwise naona kila mtu ana picha tofauti kichwani.

Hivi huyu ni kukondeana au ni mwembamba..............................!

$(KGrHqR,!jYE-cm8By9PBPsJ!4LEe!~~60_35.JPG
 
Na kwa wale wanaokua wembamba alafu baada ya miaka kadhaa unawaona wamekua mabonge ndio tuseme wanaacha roho mbaya wanakua na roho nzuri?!
 
Kaunga, ndio maana nikasema muewe aweze kumpa chakula.

Ndio maana akiwa hanenepi wanaaanza kwanza kuulizana tatizo ni nini?

Baada ya hapo, wanakonludi.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh.
Nakumbuka mama yangu alikuwa anatuambia hakuna mtu mwembamba duniani...kuna mrefu na mfupi tu.
Mimi nilikuwa portable kabla ya kuolewa...nilipozaa mtoto wa kwanza nikawa miss bantu...sasa hivi nime control nina excess ya kilo 2 tu (nadhani unanipata mambo ya BMI)

Ndio maana siwaelewi hawa wanaosema uzito wa mtu unaendana na roho yake.


Komgosho, wengine ni maumbile tu. Miili yao ina metabolism nzuri; na wengine ni shughuli nyingi, chakula kisichotosheleza. Mmama aliyeolewa na kuzaa na halafu akawa ni wa nyumbani tu, hana shughuli za kusababisha aunguze mafuta vizuri lazima atanenepa hata akiwa na roho ya aje!

Lkn huyo huyo aliyeolewa akiwa anashinda shamba na mlo mmoja kwa siku hata kama alikuwa bonge atakonda! Juzi nilikuwa nyumbani, nikaoneshwa picha yangu na nephew yangu ambayo nilipiga when l was in my mid twenties, l was so skinny; why kazi yangu ilikuwa very physical na outdoors tu, ulaji wangu haujabadilika sana. Mpaka najifungua nilikuwa na uzito wa 66kg. Lkn baada ya nature ya kazi kubadilika, nikifanya diet ndipo ninapofikia hiyo 66kg.

Sasa sijui roho inabadilika with weight flactuation?
 
Huyu unaweza ku mu analyse kwa vigezo viwili; kama yuko sexy or not. Si kama ana roho mbaya au hana...kwa sababu huyu nina hakika ni mtu wa mazoezi ndio maana yuko hivyo alivyo...ameplan kuwa hivyo alivyo na si kuwa ana mawazo hasi au chanya.


nyumba kubwa Je huyu naye...................................LOL
0108-rachel-zoe-skinny_vg.jpg
 
Huwezi kusema kwa kuangalia picha tu...unless unamjua.
Mi ntajuaje kama aliwahi kuwa bonge before au ndo alivyo toka azaliwe. Kukondeana ni changes..na ili ku trace changes lazima kuwe na pa kuanzia (base)

Hivi huyu ni kukondeana au ni mwembamba..............................!

$(KGrHqR,!jYE-cm8By9PBPsJ!4LEe!~~60_35.JPG
 
Umeona eeh.
Nakumbuka mama yangu alikuwa anatuambia hakuna mtu mwembamba duniani...kuna mrefu na mfupi tu.
Mimi nilikuwa portable kabla ya kuolewa...nilipozaa mtoto wa kwanza nikawa miss bantu...sasa hivi nime control nina excess ya kilo 2 tu (nadhani unanipata mambo ya BMI)

Ndio maana siwaelewi hawa wanaosema uzito wa mtu unaendana na roho yake.

1.portable
2.miss bantu
3. malizia jina la sasa hivi basi lol
 
I have really enjoyed this thread. I have read every post and am smiling!
Thanks Mutambuzi et al for all these posts.
 
Kuna kukosea kwenye makadirio, lakini hakuna mwanasayansi anaetoa tarakimu kutoka thin air.

Anaweza kufikia tarakimu isiyo sahihi, lakini kwa njia za kisayansi, sio kulala ukaota

Hujajibu swali langu kabisa!!!!
 
I would say the opposite. Mwembamba ni mtu ambaye hapati vimelea vya kutosha kunawirisha mwili. Mtu mwenye roho mbaya lazima hata energy reserve yake mwilini inakuwa kubwa kwa sababu muda mwingi anajihusisha na mambo ya kumnufaisha yeye peke yake. Kama katika nchi zenye upungufu wa chakula kama za Afrika, mtu mwenye roho mbaya atakula peke yake - kwanini awe mwembamba?!!!
 
Ukiwa na Roho Mbaya maana yake unakua na kama kachuki fulani hivi dhidi ya yule unaemfanyia Roho Mbaya.

Maana yake unakereka nae, kwamba pengine huli hulali kwa kukereka na huyo unaemfanyia roho mbaya.

Hii hupelekea hata kua na mawazo mengi against huyo unaemfanyia roho mbaya.
Wewe unabaki na mawazo yako chungu tele yanakutesa, mwenzio anadunda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom