Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
ha ha haaa
lol...
nyiingi mno
hizi ni few of them....lol
Tutajie hizo nyengine basi, maana hizi zimekaa vibaya
ha ha haaa
lol...
nyiingi mno
hizi ni few of them....lol
Inawezekana, ila wapo wengi tu ambao ni wembamba sana lakini kukondeana kwao hakutokani na roho mbaya walizonazo hata kidogo, ni nature tu ya maumbile yao! Tunao mifano ya watu wengi tu ambao jamii inawatambua kwa kuzijali familia zao na kuisaidia jamii iliyowazunguka ila miili imekataa kabisa kuongezeka. Mifano ni mingi ili nisingependa kuwataja hapa ili kuepusha mjadala mwingine.
Kwa upande wa akina dada ndo kabisa. Wengi wao wana roho nzuri na hawana ukatili lakini unakuta wamekondeana/wembamba either kwa kupenda (wanafanya diet), kumaintain figure(umbile), au tu ndivyo walivyozaliwa! Hivyo kwa kiasi jibu linaweza kuwa waliokondeana wana roho mbaya na kwa kiasi si wote wanaoangukia kwenye fungu la roho mbaya ...
Ni mtazamo tu ndugu yangu Mtambuzi .....
Kama walivyo wagonjwa wengine, suala la udhaifu wa mwili hujitokeza sana kwa watu hawa, kwani pamoja na maradhi yanayoletwa na hisia chafu, kinga ya mwili hushuka sana pale miili inapohemkwa mara kwa mara. Ni rahisi kwa hali hiyo watu wenye roho mbaya kukondeana na kukosa afya imara. Hata hivyo sio kweli kwamba watu wote wenye afya mbovu inatokana na roho mbaya, hapana. Lakini kwa wale walio na roho mbaya, yaani kufikiri na tabia zenye kuzalisha nguvu hasi, nirahisi zaidi kwao kukosa afya bora, kama tulivyoona.
Mkuu nilishaweka angalizo kuhusu hilo ulilosema, unaweza kurudia kusoma hapo kwenye red.....................
Mkuu Blaki Womani ebu tupatie status ya huyu mdogo wako (kwa wakati huu). Je ana roho mbaya au ilikuwa ni mambo ya utoto ktk 'foolish age'?
Mi napinga kwa nguvu zote unless unambie unatafsiri ipi ya kukondeana? Kama mgonjwa wa HIV au kuwa na healhty figure????
Kuna watu unawaona jinsi walivyo kwa kuwa wako in control of their body including what they eat pamoja na exercises.
Na hawana mawazo hasi ila wanajipenda kupitiliza hence wana feel good seeing how shapely they could be
Haki ya Mungu sikujua kwamba hujui kutofautisha kati ya wembamba na kukondeana
Kabla hamjatoa kibali cha watu kunyanyapaliwa kumbukeni kuwa sio kila mwembamba ana roho mbaya
Hii ni kwa Afrika? Ulaya? Marekani zote? au Asia?
Mleta Mada anaweza kututhibitishia kuwa Stephen Wassira ana roho nzuri sana kuliko Mwl Nyerere?
Kweli kabisaa! Tanzania nchi imekondeana kiuchumi kwa sababu ya wivu wetu dhidi ya UK na USA, pia hatujawasamehe wakoloni jinsi walivyotutenda hasa ktk ziwa nyasa, jamani tuwasamehe wakoloni na tuache roho mbaya na wivu dhidi ya mataifa yaliyoendelea, huenda tukifanya hivyo tanzania itanenepa kiuchumi.
nitaongelea nitokako.
Mwanamke akishaolewa, akapata na watoto halafu akaendelea kuwa mwembamba moja kwa moja tunajua ana 'wivu, roho mbaya na fitina'
kwa hiyo mwanamke yeyote aliyeolewa na kuzaa lazima anenepe maana kazi ya mme ni kumlisha.
Hata mwanamme mwenye mke mwembamba sana huwa anaona aibu maana anaona kashindwa kumridhisha mkewe.
Tutajie hizo nyengine basi, maana hizi zimekaa vibaya