Inaonekana moja ya agenda kubwa wananchi wa Tanzania waliomchagulia jk ni kuhudhuria misiba ya viongozi barani
africa. badala ya kukaa nchini mwake kutatua matatizo makubwa yanayoikabili nchi yeye kutwa kuhudhuria misiba. kwa wale watakaosema ni kwa ajili ya kuimarisha diplomacy basi inabidi tujiulize kwanini marais wa kenya na Uganda hawafanyi hivyo ??
africa. badala ya kukaa nchini mwake kutatua matatizo makubwa yanayoikabili nchi yeye kutwa kuhudhuria misiba. kwa wale watakaosema ni kwa ajili ya kuimarisha diplomacy basi inabidi tujiulize kwanini marais wa kenya na Uganda hawafanyi hivyo ??