MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Morning wakuu! Kumekuwa na stori nyingi za vijana wakati tukisoma secondari na vyuo ,anamtokea Binti mkali na anamfatilia kwa muda mrefu hata miezi 2 na zaidi lakini ikitokea siku bint amekubali kuja kuliwa, amefika gheto/ room ghafla Hofu na Ile mstuko unafanya jogoo likatae kupanda mtungi. Je wewe imewahi kukutokea hiyo? Hasa wakati ukiwa kijana, hujazoea kula mbunye kivile.