Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
kamuulizea lulu na kanumba, unatuuliza tulikuwepo?
Wewe kama una bifu na Seti kivyako bana sio kuanza kumtengenezea mazingira ya kubambikiziwa kesi. Tangu lini mtu akaingia chumbani kwa braza wake wakati bro ana mzigo? Hata hao polisi watakushangaa kwani dogo alikuwa anasubiri bro amalize kumla mtoto mbichi na mtamu Lulu ndio watoke out. Maaskari jela watafaidi sana mwaka huuNa doubt sana na Set, mdogo wake SK, anaweza kuwa anahusika/anajua what was behind the scene, maana jinsi maelezo yake yalivyo ni as if alikuwa anashuhudia kila tukio, pia nasikia Set ni Mtot wa Mama wa Kambo ( Baba Mmoja Mama Mbalimbali na SK) na huyo Maza alikuwa anamtesa sana SK enzi hizo, ukijaribu ku connect dots plus polisi kutotoa maelezo ya Lulu, Nawashauri Polisi wamakamte Set mara moja kwa uchunguzi zaid...
We me au keInawezekana,c mnajua nyie mkinywa nyagi then una chombo pembeni huwa hamrembi.
Mimi naamini,tena Mtoto mwenyewe Lulu alivyo mbichi,utamfaidijeee!
Nasikia tetesi mitaa ya sinza,,kwamba marehemu alikuwa anakula mzigo bafuni ghafla ndo simu ya Lulu ikaita chumbani,,baada ya lulu kustop kwenda kuikimbilia simu yake,,marehemu the great naye akamuungia kumfuata,,bahati mbaya akateleza akitokea bafuni na kuanguka,,,,wapo wanaodai wakati daktari anafika marehemu alikuwa mtupu..
Haya basi tuwaachie mapolisi wetu wa kibongo waendeshe hii movie.
RIP The Great
Ni kabla au baada?Kufariki mda mchache kabla ya uroda ndo kigeni kwangu.