MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
​Wanajanvi ninaomba mnisaidie katika utafiti wangu huu kujua ni kabila gani la kitanzania lenye wanawake warembo zaidi na ni kigezo gani hasa unachotumia katika utambuzi. Je, sura au umbo? au ni vyote kwa pamoja?
Tafadhali changia kama una mchango chanya.
REMEMBER:
It's better to be silent and thought a fool than to speak and remove all doubt.
Tafadhali changia kama una mchango chanya.
REMEMBER:
It's better to be silent and thought a fool than to speak and remove all doubt.