Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ukiwa kama mwana JF ambaye unataka mabadiliko ya kweli kwa watanzania, leo hii JK anakuteua kushika wadhifa fulani serikalini au katika shirika la umma; je utakubali? Kama ndio au hapana, tupe sababu za msingi! Ulimwengu alikwisha wahi mkatalia Mkapa!!