Unaonekana kuwa unaelewa in deep unachoandika sasa
Itawezekana tu ikiwa yeye kama mtumishi ametekeleza vyema masharti na kanuni za kiutumishi,vinginevyo ni porojo.
Unaonekana kuwa unaelewa in deep unachoandika sasa
Na wala hakuna mabadiliko yanayotokea overnight. Kama akili yako imeganda kwenye MRI na CTS basi reasoning capacity yako ni tatizo.
Katika nchi za kibepari una uhakika kila kitu huwekwa wazi hata katika initial stages? Kumbe na wewe ni mweupe kiasi hiki!!? Ikiwa hivi utakavyo wewe unafikiri intelligence agencies zitafanyaje kazi? Kwamba kila kinachotokea umeshaambiwa sababu yake. Mengine yanafichwa kwanza ili jambo muhimu likamilike. Hii ni standard dunia nzima hata kwa hao unaowasifia. Angalia mambo waliyoyatoa akina Snowden and learn something. Usiwe mtu wa kulalamika lalamika tu. Waliomzuia wanaelewa haki za binadamu kuliko wewe unayetazama kitabu kwa nje na kuhukumu.
ni ngumu sana kumwelewa magufuli kwa mtu mwenye akili kama yako.
Kwakuwa akili yako inafikiria hapa ulipo sasa na si wakat ujao hutakuja kumwelewa magufuli na utaishia kulalamika tu.
Mambo mengne sio kila mtu ajue kuwa kwann inakuwa hivi. Kwakuwa hujui yanayoendelea ndan ya nchi hii na htajua kuwa kwann magufuli amezuia hizo safari ila secret service ndio inayoweza kujua kuwa kwann kazuia safar.
Na ujue hata ndan ya nyumba ukishaona mkeo ni mlopokaji inatakiwa sio kila unalofanya alijue na inatakiwa hata mshahara wako asijue kias flan kinaenda wapi. Japo ataweza kulalamika kuwa unamnyima uhuru wa kujua mambo yenu lakn siku ya siku atakapokuja kuona matokeo mazuri ya kias cha mshahara ulichokuwa unamficha hapo ndio ataanza kukusifia.
Kuna mijitu iko kwenye Payroll ya madalali.Ni nyie nyie mnaonung'unika kuwa haki za binadamu zinavunjwa ndio hamuishi kutuambia kuwa Balali yupo hai ila kaminya tu sehemu. Wote tunafahamu kuwa BoT ndiko kuna chumvi ya Taifa, sasa mbona msitie shaka kuwa yawezekana kajamaa kanataka kusepa mamoja?
Hakuna kupumzika wala nini, kama ni beach aende Coco kabla haijauzwa. Umeshaambiwa ni KIGOGO, tena haikupaswa kuzuiwa tu, angecharazwa na bakora kwa kosa la kuondoka darasani huku mwalimu anafundisha
Ben Saanane na Pasco ni vyema mkawa mnasoma sheria vinzuri na mkazielewa. Pia badala ya kuangalia katiba tu mlipaswa kuangalia na HR policy ya BOT inasemaje, pamoja na hayo pia mlipaswa kuangalia sheria ya utumishi wa umma inasemaje.
Binafsi nimefanya kazi kwa muda mrefu na serikali na nafahamu vizuri sheria za kusafiri nje ya nchi. Kwanza tujue kuwa kuomba kibali cha kusafiri kwenda nje ya nchi hakijaanza leo, ni tangu enzi za Mwalimu. Kilichokuwepo ni kukosa usimamizi. Tangu miaka hiyo, unajaza fomu 2 moja inaishia wizarani au kwa mwajiri wako (mkurugenzi, Katibu Mkuu). Ya pili inakwenda Ikulu. Na unajaza tu unapokuwa kwa shughuli za kikazi.
Najua, wengi mnajua, airport kuna taratibu gani za kuasafiri. Hakuana anayeangalia kibali cha kusafiri mtu zaidi ya Visa na pengine kama kuna kitu kinaleta sintofahamu barua ya mwaliko.
Kama kunatokea kitu kama hiki hasa kwa mtumishi wa umma, kuna cha zaidi. Tujipe muda, nchi inafukuta na watu wengine wanatafuta pa kutokea. Kama hana shida kwani alijitambulisha au kuna reja ya wafanyakazi Airport. Hakuna!!!!
Hatuwezi kuja na majibu ya jumla hata aliyekataliwa tunafahamiana sana naye.
Mkuu waweza nithibitishia mahali nilikotaka tuwe na rais wa aina hii?
Mkuu Ben
Sikutarajia ungeomba nithibitishe hili. Maana implication ya maandiko yako kadhaa imejidhihirisha kuhitaji kiongozi mwenye uthubutu wa kuongoza kwa "mkono wa chuma". Hitaji lako kwamba nithibitishe pengine ukimaanisha ninukuu andiko lako linanipa picha tofauti kidogo kuhusu consistency ya uchambuzi wako makini.
Absurd conclussion....
Wewe jamaa sikuwai kujua kama ni kilaza namna hii. Nazidi kuichykia chadema.