Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Subiri UKAWA wakichukuwa nchi ndo mfanye manayoona. Najua hakuna anayependezwa na haya awe CCM au UKAWA ila mabadiliko ya kweli ndo haya. Mtumishi wa serikali inatakiwa ndo awe kioo cha kutii sheria.
mkuu[MENTION]pasco[/MENTION] itafika kipindi tuujue ukweli kuwa mpaka sasa tuko kwenye an undeclared state of emergency lakini wachache hawaoni taa nyekundu za uongozi huu kuanza kuonea watu na kuvunja haki za msingi za raia huku wakitumia media kujionyesha kuwa wako serious na kazi.
haya yanaweza kuonwa na wachache na wanaoweza kukosoa kama wewe. wengine hawana habari nayo hawajali kwa sababu hakuna mwingine anayejali. wao likifanyika baya mradi liwe limefanywa na kiongozi katika utawala mpya wanashangilia likifanyika jema wanashangilia hawaelewi wanaelekea wapi.
kwa awamu ya tano hii naanza kuliona wazi tatizo la kukosa vision, decision making style na delegation yenye tija muda utasema huko tuendako tusubiri tuone.
kuna watu watakuja kusema tunakosoa kwa sababu sisi tuna wivu wa kike hatuyaoni mazuri ya awamu ya tano badala yake tunaona mapungufu tu hawa nao tusiwakatie tamaa tuendelee kusema tunapoona pamefanyika fyongo.
namna ya utendaji wanayoanza nayo viongozi wetu itaumiza wengi hasa pale watakapokabidhi nyundo kwa vichaa bila kuwapa speed governor.