rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu mniwie radhi kwa kuwa kulikuwa na post kutoka kwa Director hapa jamvini siku za nyuma kumuhusu huyu Mkuu Mtatiro lakini nimeitafuta kwa update sikuweza kuipata,kwa hiyo nimeamua kufungua mpya!
Mkuu Mtatiro unaweza kutueleza kuwa mwisho wako kisiasa unakaribia? naomba utueleze nini hatma yako kwa sasa hivi,tunajua boss wako Maalim atahamia ccm pamoja na kundi lake,,je wewe utahamia wapi?ile post iliyokuwa hapa siku za nyuma ilikushauri uende chadema,je utaelekea chadema au utaelekea wapi??
Nataka ujue tunakutazama kwa jicho la karibu sana!
Mkuu Mtatiro unaweza kutueleza kuwa mwisho wako kisiasa unakaribia? naomba utueleze nini hatma yako kwa sasa hivi,tunajua boss wako Maalim atahamia ccm pamoja na kundi lake,,je wewe utahamia wapi?ile post iliyokuwa hapa siku za nyuma ilikushauri uende chadema,je utaelekea chadema au utaelekea wapi??
Nataka ujue tunakutazama kwa jicho la karibu sana!