Wasomi wa CHADEMA okoeni chama chenu dhidi ya uhuni huu

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa makusudi hawafanyi lolote zaidi ya maandamano.

Hii si mara ya kwanza, kila unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema wahuni wachache wanaotaka kubakia kwenye nyadhifa zao hulazimika kuanzisha schemes za kuwabakisha madarakani kwa kuvuruga chaguzi au kuzisubirisha bila sababu ya msingi. Wote tunajua hii mchezo huu unafanywa na Mzee wetu Mbowe.

Bila kujali athari zake, nimeamua kutoka ili nieleze umma na kuwataka wanazuoni wa chadema kuchukua hatua haraka kukinusuru chama chenu dhidi ya uhuni unaofanywa na baadhi ya viongozi. Anayetaka kubisha aseme ni tija ipi imepatikana kwa maandamano ya Dar es salaam na Mwanza?

Mwisho, ikiwa mikutano ya hadhara imeruhusiwa na haifanyiki, Je ni sababu gani inayokwamisha? Kama ni Fedha, tayari chama kimepokea mabilioni ya ruzuku, fedha hii inatumika wapi? Na kama imetumika tayari ni nani anayedhamini maandamano ya Chadema ila hataki kudhamini mikutano ya hadhara ili kujenga chama? Jibu liko wazi ni utapeli tu, ifike wakati wanazuoni ndani ya Chadema wajitokeze kukemea uhuni unaoendelea kuangamiza uhai wa chadema.
 
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi serikali za mitaa...
Mbona hauongelei uchaguzi wa DP, CHAUMA, CCK, hivyo si ndiyo vyama rafiki wa nyie ccm. Hebu wambie wafanye uchaguzi hao wenzenu kwanza. Ikiwemo nyie maana Samia alipita kidikteta kwenye kupata uenyekiti
 
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa makusudi hawafanyi lolote zaidi ya maandamano.

Hii si mara ya kwanza, kila unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema wahuni wachache wanaotaka kubakia kwenye nyadhifa zao hulazimika kuanzisha schemes za kuwabakisha madarakani kwa kuvuruga chaguzi au kuzisubirisha bila sababu ya msingi. Wote tunajua hii mchezo huu unafanywa na Mzee wetu Mbowe.

Bila kujali athari zake, nimeamua kutoka ili nieleze umma na kuwataka wanazuoni wa chadema kuchukua hatua haraka kukinusuru chama chenu dhidi ya uhuni unaofanywa na baadhi ya viongozi. Anayetaka kubisha aseme ni tija ipi imepatikana kwa maandamano ya Dar es salaam na Mwanza?

Mwisho, ikiwa mikutano ya hadhara imeruhusiwa na haifanyiki, Je ni sababu gani inayokwamisha? Kama ni Fedha, tayari chama kimepokea mabilioni ya ruzuku, fedha hii inatumika wapi? Na kama imetumika tayari ni nani anayedhamini maandamano ya Chadema ila hataki kudhamini mikutano ya hadhara ili kujenga chama? Jibu liko wazi ni utapeli tu, ifike wakati wanazuoni ndani ya Chadema wajitokeze kukemea uhuni unaoendelea kuangamiza uhai wa chadema.
hakuna msomi anaeskizwa chadema,
amebaki Lwaitama tu amabae nea anaburuzwa kama ng'ombe na amechakaa balaaa.....

wasomi walishatoroka huko kitambo sana na hakuna anaetamani kwenda kudhalilika kwenye hicho kikundi....

wasomi wanajiskia kinyaa zaidi puppet anapokua eti ndio kiongozi wao hali yakua wanajua hawezi wafikisha popote
 
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa makusudi hawafanyi lolote zaidi ya maandamano.

Hii si mara ya kwanza, kila unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema wahuni wachache wanaotaka kubakia kwenye nyadhifa zao hulazimika kuanzisha schemes za kuwabakisha madarakani kwa kuvuruga chaguzi au kuzisubirisha bila sababu ya msingi. Wote tunajua hii mchezo huu unafanywa na Mzee wetu Mbowe.

Bila kujali athari zake, nimeamua kutoka ili nieleze umma na kuwataka wanazuoni wa chadema kuchukua hatua haraka kukinusuru chama chenu dhidi ya uhuni unaofanywa na baadhi ya viongozi. Anayetaka kubisha aseme ni tija ipi imepatikana kwa maandamano ya Dar es salaam na Mwanza?

Mwisho, ikiwa mikutano ya hadhara imeruhusiwa na haifanyiki, Je ni sababu gani inayokwamisha? Kama ni Fedha, tayari chama kimepokea mabilioni ya ruzuku, fedha hii inatumika wapi? Na kama imetumika tayari ni nani anayedhamini maandamano ya Chadema ila hataki kudhamini mikutano ya hadhara ili kujenga chama? Jibu liko wazi ni utapeli tu, ifike wakati wanazuoni ndani ya Chadema wajitokeze kukemea uhuni unaoendelea kuangamiza uhai wa chadema.
Samahani Dada kama wewe sio mwanachama wa Chadema, wewe inakuhusu Nini?

Kuna vyama 20 vyenye Usajili kamili kwaninI CHADEMA ndo mnayoisumbua peke yake
 
hakuna msomi anaeskizwa chadema,
amebaki Lwaitama tu amabae nea anaburuzwa kama ng'ombe na amechakaa balaaa.....

wasomi walishatoroka huko kitambo sana na hakuna anaetamani kwenda kudhalilika kwenye hicho kikundi....

wasomi wanajiskia kinyaa zaidi puppet anapokua eti ndio kiongozi wao hali yakua wanajua hawezi wafikisha popote
Mbowe si Msomi?
Lissu si Msomi?
 
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa makusudi hawafanyi lolote zaidi ya maandamano.

Hii si mara ya kwanza, kila unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema wahuni wachache wanaotaka kubakia kwenye nyadhifa zao hulazimika kuanzisha schemes za kuwabakisha madarakani kwa kuvuruga chaguzi au kuzisubirisha bila sababu ya msingi. Wote tunajua hii mchezo huu unafanywa na Mzee wetu Mbowe.

Bila kujali athari zake, nimeamua kutoka ili nieleze umma na kuwataka wanazuoni wa chadema kuchukua hatua haraka kukinusuru chama chenu dhidi ya uhuni unaofanywa na baadhi ya viongozi. Anayetaka kubisha aseme ni tija ipi imepatikana kwa maandamano ya Dar es salaam na Mwanza?

Mwisho, ikiwa mikutano ya hadhara imeruhusiwa na haifanyiki, Je ni sababu gani inayokwamisha? Kama ni Fedha, tayari chama kimepokea mabilioni ya ruzuku, fedha hii inatumika wapi? Na kama imetumika tayari ni nani anayedhamini maandamano ya Chadema ila hataki kudhamini mikutano ya hadhara ili kujenga chama? Jibu liko wazi ni utapeli tu, ifike wakati wanazuoni ndani ya Chadema wajitokeze kukemea uhuni unaoendelea kuangamiza uhai wa chadema.
Sawa Benson Mramba.
Wamekusikia.
 
Miezi michache ijayo kipute cha uchaguzi wa serikali za mitaa kitaanza, Chadema inatakiwa ikamilishe chaguzi za ndani na pia ijiandae kwa uchaguzi Serikali za Mitaa, cha kushangaza uongozi kwa makusudi hawafanyi lolote zaidi ya maandamano.

Hii si mara ya kwanza, kila unapokaribia uchaguzi ndani ya Chadema wahuni wachache wanaotaka kubakia kwenye nyadhifa zao hulazimika kuanzisha schemes za kuwabakisha madarakani kwa kuvuruga chaguzi au kuzisubirisha bila sababu ya msingi. Wote tunajua hii mchezo huu unafanywa na Mzee wetu Mbowe.

Bila kujali athari zake, nimeamua kutoka ili nieleze umma na kuwataka wanazuoni wa chadema kuchukua hatua haraka kukinusuru chama chenu dhidi ya uhuni unaofanywa na baadhi ya viongozi. Anayetaka kubisha aseme ni tija ipi imepatikana kwa maandamano ya Dar es salaam na Mwanza?

Mwisho, ikiwa mikutano ya hadhara imeruhusiwa na haifanyiki, Je ni sababu gani inayokwamisha? Kama ni Fedha, tayari chama kimepokea mabilioni ya ruzuku, fedha hii inatumika wapi? Na kama imetumika tayari ni nani anayedhamini maandamano ya Chadema ila hataki kudhamini mikutano ya hadhara ili kujenga chama? Jibu liko wazi ni utapeli tu, ifike wakati wanazuoni ndani ya Chadema wajitokeze kukemea uhuni unaoendelea kuangamiza uhai wa chadema.
Wewe hujawahi kuwa Chadema na ndio maana hujui lolote kuhusu Chaguzi za chama zinazoendelea kote nchini .

Halafu hufahamiki unataka nini , Ruzuku , maandamano , chaguzi au mikutano ya hadhara ? waliokutuma hawakujua kwamba uwezo wako ni duni kiasi hicho , ndio maana wakakulipa hizo hela , angalia usije ukazitapika
 
hakuna msomi anaeskizwa chadema,
amebaki Lwaitama tu amabae nea anaburuzwa kama ng'ombe na amechakaa balaaa.....

wasomi walishatoroka huko kitambo sana na hakuna anaetamani kwenda kudhalilika kwenye hicho kikundi....

wasomi wanajiskia kinyaa zaidi puppet anapokua eti ndio kiongozi wao hali yakua wanajua hawezi wafikisha popote
D. C. Msuya aliwahi kusema kuwa CHADEMA ni chama chenye watu makini sana na wenye hoja makini kuliko CCM.
 
Chadema sio chama cha siasa ni kampuni ya mtu binafsi iliyovaa koti la chama cha siasa...huku Arusha hawataki hata kuisikia..alafu inaukabila wa kishamba sana..angalia uongozi chama Arusha..mara kimambo,minja,kimaro,wanatupiga danadana kwenye majina ya ukoo tu..shwaini kabisa...Alafu kuna huyu lema anaburuza miguuu kama analima hatua za shamba ..mshamba sana huyu jamaa..utasikia nani ampe chasaka uongozi..mtachagua kidxle mwisho wa siku..hawa jamaa wanaukabila wakishamba sana
 
D. C. Msuya aliwahi kusema kuwa CHADEMA ni chama chenye watu makini sana na wenye hoja makini kuliko CCM.
hoja mipasho?

kama ingekua hoja ningalikua huko kutambo sana, kwanza wako wapi hata hao wakubuni sera hata pawe na hoja?

hoja ya kuwa kibaraka au alivyowahadaa uyo DC nanyi mkajaa mazima mazima bila ata kujiuliza au kujitathmini :D

siasa ni sanyansi bana
 
Chadema sio chama cha siasa ni kampuni ya mtu binafsi iliyovaa koti la chama cha siasa...huku Arusha hawataki hata kuisikia..alafu inaukabila wa kishamba sana..angalia uongozi chama Arusha..mara kimambo,minja,kimaro,wanatupiga danadana kwenye majina ya ukoo tu..shwaini kabisa...Alafu kuna huyu lema anaburuza miguuu kama analima hatua za shamba ..mshamba sana huyu jamaa..utasikia nani ampe chasaka uongozi..mtachagua kidxle mwisho wa siku..hawa jamaa wanaukabila wakishamba sana
Hilo lina elewek vyema
 
Back
Top Bottom