Hiyo ni buffet.....kwani hamjakwenda kwenye 5 star hotel mkakuta kama hayo
Hata six star hotel sio hivo bana, Khaaaa! After first course vitu vinaondolewa then inaletwa main course then dessert. But sio hivo, yaani hadi chakula cha mlo wa jioni kishawekwa mezani., khaa
Alionja alipokuwa akipika na atafaidi zaidi hao mibaba ikishajaa mitumbo yao after all hawawezi kula vyote hivyo.