Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Watawala wa Africa tofauti na viongozi wa "ulaya' wao wana mambo yao , wanaamini hivyo na huwaambii kitu!
- Vyeti feki --------matokeo Halali.
- Walimu feki ---- Wanafunzi Halali
- Phd Feki ------ Ubunge halali.
- Ubunge feki ----- Phd Halali
- Manabii feki -- Imani halali.
- Njia haramu -- Matokeo halali.
- Bunge Haramu -- Serikali halali.
- Sheria mbaya -- Hukumu halali.