Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,172
- 20,350
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani. Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benjamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia. Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini? Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani. Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benjamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia. Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini? Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?